Pendekezo: John Heche amrithi Zitto Kabwe

Pendekezo: John Heche amrithi Zitto Kabwe

Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!


Yawezekana kazi anayofanya heche isiwe na thamani sana kwako ila kwa chama chake na kwa wanachama ni lulu.

Kazi anazozifanya zito kwa sasa zina manufaa sana kwa chama na kwa Tanzania kwa ujumla.

Kila mwanachama wa CDM kwa wakati huu wa kikuimarisha chama anapaswa kuyafanya kila awezalo kuwatia nguvu Heche na Zito kabwe pia.

Kwa wana jembe na nyundo hii kwao ni misamiati............

Tafakari .....................chukua hatua..........................Vua gamba ........................vaa uzalendo..............
 
Ushauri ni jambo la busara, viongozi wa CDM waliomo Jukwaani watafikisha kunakostahili..
 
zito si ndo anaetumika kuthibitisha kuwa chadema si chama cha kanisa, mkimtoa itakuwaje sasa! mwe
 
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!

gamba umerejea tena baada ya kutamanishwa na nape??mna kazi mwaka huu
 
Sidhani kama zitto amelemewa na majukumu na wala hakuna majukumu ambayo yamemshinda.

Heche pale alipo ndio panamfaa kabisa ndio maana hakupewa pengine!
 
Hacha kuharibu mada makusudi.
Ni lini utaacha haya mambo ya wasio fikiri kwa kina mkuu?
zito si ndo anaetumika kuthibitisha kuwa chadema si chama cha kanisa, mkimtoa itakuwaje sasa! mwe
 
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!

Ndio maana Bible inasema usimwache mwanamke mchawi aishi, watu kama wewe ni wa kuuwawa!
 
Internal power struggle ndani ya CDM will cost the party dearly. Its time voice of reason prevailed.
 
Internal power struggle ndani ya CDM will cost the party dearly. Its time voice of reason prevailed.

mkuu waache wapoteze muda, ni kampeni za uchaguzi wa mwakani zimeanza.
Watajimaliza wenyewe.
 
Mkuu wewe ni CCM/CUF kwani ni lazima kila kitu cha CDM urukie?

Mbona mkuu inaonekana wewe ndo unarukia? CCM/CUF imeingiaje hapo? au unafikri CDM ni ya wachache 2? ni haki yake kutoa maoni yake.
 
John Heche ni mwanasiasa ambae hana mvuto wowote mbele ya watanzania labda mleta mada utueleze Heche kaisaidia nini Bavicha mpaka amrithi Zitto...kikubwa alichokifanya Heche ni kutoa matamko kila mwezi.
 
Zito ni "necessary evil"..tumuache tu akae hapo alipokaa sasa, tunamhitaji kwa kuwa yeye si mchagga, si wa kaskazini na pia ni muislam..Big up kwa John Heche,tutampa uwaziri wa serikali za mitaa 2015..lakini tuishi na zito kwa akili, tusije sababisha havoc..tunamhitaji bado
 
Yawezekana kazi anayofanya heche isiwe na thamani sana kwako ila kwa chama chake na kwa wanachama ni lulu.

Kazi anazozifanya zito kwa sasa zina manufaa sana kwa chama na kwa Tanzania kwa ujumla.

Kila mwanachama wa CDM kwa wakati huu wa kikuimarisha chama anapaswa kuyafanya kila awezalo kuwatia nguvu Heche na Zito kabwe pia.

Kwa wana jembe na nyundo hii kwao ni misamiati............

Tafakari .....................chukua hatua..........................Vua gamba ........................vaa uzalendo..............
Mtaendelea kukiimarisha chama mpaka mtachoka! Msijali, mtapokea makapi ya kutosha kutoka kwetu, sisi ile cream yote inazidi tu kutukimbilia bila hata kutumia nguvu ya aina yoyote.
 
We MBWA utaanza kuuwawa wewe!
Matusi ya nini? Hapana shaka mada hii haina mvuto kabisa na utaishia kutukna watu wenye mawazo ya busara. Haiwezekani Ufananishe kazi anazofanya ZITTO na gharasha HECHE.
 
John Heche ni mwanasiasa ambae hana mvuto wowote mbele ya watanzania labda mleta mada utueleze Heche kaisaidia nini Bavicha mpaka amrithi Zitto...kikubwa alichokifanya Heche ni kutoa matamko kila mwezi.
Matamko yenyewe ni pumba tupu!!!
 
Back
Top Bottom