JF imejaa utoto sana badala ya kujibu hoja unaleta vionja mambo ya wazazi sijui yameingiaje.
Zito ni "necessary evil"..tumuache tu akae hapo alipokaa sasa, tunamhitaji kwa kuwa yeye sie mchagga, si wa kaskazini na pia ni muislam..Big up kwa John Heche,tutampa uwaziri wa serikali za mitaa 2015..lakini tuishi na zito kwa akili, tusije sababisha havoc..tunamhitaji bado
Usipende kukurupuka, hapo hamna tusi lolote. Jina la mtu niliyequote post yake anaitwa MBWA HARUKI. Nimeandiaka tu first nameMatusi ya nini? Hapana shaka mada hii haina mvuto kabisa na utaishia kutukna watu wenye mawazo ya busara. Haiwezekani Ufananishe kazi anazofanya ZITTO na gharasha HECHE.
Hiyo nafasi apewe Lema au Shibuda
John Heche ni mwanasiasa ambae hana mvuto wowote mbele ya watanzania labda mleta mada utueleze Heche kaisaidia nini Bavicha mpaka amrithi Zitto...kikubwa alichokifanya Heche ni kutoa matamko kila mwezi.
Mtu mwenye akili timamu kweli anamfananisha Zitto ya huyo kilaza? Slaa mwenyewe hajafika kiwango cha Zitto.
Matamko yenyewe ni pumba tupu!!!
Umeonae, huko si kuishiwa mkuu, wanaanza kutapatapa 2 hawa, hawana jipya tena.Mtu mwenye akili timamu kweli anamfananisha Zitto ya huyo kilaza? Slaa mwenyewe hajafika kiwango cha Zitto.
Alitoa tamko akilani kauli ya Shibuda kugombea urais, yule Mwanamke wa BAWACHA akapingana naye akamwambia Heche usipende kuropoka hovyo.
Heche ni msukule wa Mbowe.
Ni makosa makubwa sana kudhani kuwa anayefanya vizuri kwenye nafasi flan basi atafaa sana kwenye post flan nyingine! Angalia Makamba kutoka RC na kwenda Katibu mkuu! Nape hakuwa hivi alipokuwa vijana! Stela Manyanya kaharibika kabisa alipopewa uRC! Heche anafiti kwenye nafasi yake ya sasa na tumwache afanye kazi yake. Akimaliza tuone kama tutamwongeza muda. Akichoka apumzike.
Hayo ndio maoni yangu!