Matusi ya nini kwenye hoja yangu isiyokuhusu?
Mkuu nakushukuru sana.Eti mambo ya CDM wao Magamba ndiyo washauri.Nadhani viongozi na wanachama makini wamenielewa.
Hakuna matusi mie ndio nimejibu matusi ya Chadema mwenzako.
na wewe upo? kweli ccm wana bidiii tupatie majibu kwa nini samweli sitta hatakiwi ccm basi kama uko neutralNeno mwanamapinduzi limepoteza maana sasa Heche naye ni mwanamapindunzi.
Mkuu ulikuwa haulifahamu hilo,sasa wewe ulijua Mbowe kapata uenyekiti kwa kigezo gani? elimu,utashi wa siasa au kukubalika. Hana sifa hata moja kati ya hizo zilizomfanya kuwa kiongozi.Usistaajabu Heche akapewa nafasi ya Zitto kwa kuwa amekubali kulamba miguu ya Mbowe.
Mkuu ulikuwa haulifahamu hilo,sasa wewe ulijua Mbowe kapata uenyekiti kwa kigezo gani? elimu,utashi wa siasa au kukubalika. Hana sifa hata moja kati ya hizo zilizomfanya kuwa kiongozi.Usistaajabu Heche akapewa nafasi ya Zitto kwa kuwa amekubali kulamba miguu ya Mbowe.
Molemo kakusahihisha vizuri sana Juliana Shonza siyo kiongozi wa Bawacha...!
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Juliana Shoza ni Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA aliyemtoa nishai Heche, kama utaki unaacha.
Nasikia jamaa alikuwa anasugua disc pale bills ni kweli?
Hilo pekee yake haisemi chochote kuhusu uongozi Bw. Ronald Reagan (moja wa maraisi Marekani) alikuwa mtangazi wa redio na mcheza sinema lakini rekodi yake ni nzuri sana kiuongozi kulinganisha na Maraisi wengine kama Bw. Obama ambaye ni Prof. wa Chuo Kikuu!Nasikia jamaa alikuwa anasugua disc pale bills ni kweli?
Hivi kumbe Slaa bado anasikika kwenye duru za siasa ya Tanzania?
Nadhani sasa umekubaliana na hoja yangu kwamba heche ni msukule wa slaa!heche ni kichaa kama vichaa wengine,hana sera kazi yake ni kufokafoka na ndio maana tarime hawamtaki,
Anaishi mjini sababu ya chama na ndio maana hana maamuzi binafsi(msukule)
Hakuna mtu ataeshangaa pindi akapewa ukurugenzi pale makao makuu maana anamaliza mda wake mwakani.
Mleta mada anajaribu kupima kina cha bahari kwakutumia kijiti!
Hivi hamna raha mkiandika pumba zenu bila kumtaja rais ajae zitto kabwe?
Mnaonyesha jinsi gani anawanyima usingizi.
When you talk about zitto talk about presidential position ,zitto did not deserve to be deputy general secretary,thats why in 2009 he contested chairman position .
So your free to offer that position to your ghost john heche or anyone you want!
Hahahaa!poor mind!
Entired mind can not provide a wise decision!