N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,827
- 9,535
waweke tu hata laki tutalipa naenda Tunduma from dar km zaidi ya 900 nitembee spidi mbili na kila mahali kuna kibao cha 50 na matuta kibao tutatenga bajeti ya faini wasiogope, by the way faini haisaidii wafanye kampeni ya elimu shule keenye kwenye media nk labda itasaidia