Pendekezo: Endapo sheria ya uchaguzi ikiruhusu mgombea Binafsi, napendekeza Maxence Melo na Ontario wachukue fomu

hahahaha, wanavyotaka kumdanganya "mlangila" melo aingie kwenye siasa! kwani wanaomjua ni wangapi? tena asijaribu kabisa, siasa inakufanya uchafuke na kumaliza rasilimali zako mfano pesa, muda na watu
Ha ha haaa hana nia nzuri na Melo huyu!!
 
Mnataka kuwaingiza hao vijana mkenge, Melo siyo mwanasiasa na akijaribu kuingia humu mwenyewe anajua kabisa atapoteza.....

Kwanini mmiliki wa Facebook asigombee U Gavanna wa huko USA,?

Ni bora ungekuja na thread ya kuwataka hao ulio wataja wafungue chuo cha ujasiria Mali, na siyo kuingia kwenye siasa....
 
Ha ha haaa hana nia nzuri na Melo huyu!!
Siasa ni mwananyoro kweli hahahahha. Kwanza ukigombea unapekuliwa hadi ukoo wenu, hata ambayo ulikuwa huyajui ya kuhusu ukoo wenu utayajua. Kwa mfano kuna mmoja aligombea kwenye kura za maoni, wakatoboa siri kwamba alishawahi kuuza eneo lake ambalo lililikuwa na makaburi ya mababu zao wa zamani japo makaburi hayakuwa yamejengewa!
"Watu aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sasa huyu tukimpa ubunge si atatuuza na sisi, kama hakuogopa kuuza makaburi ya babu zake! hahahaahahahhhah
Maxence Melo nakushauri usithubutu, usijaribu, usilogwe, katu, kamweee, kujiingiza kwenye mambo ya siasa.
 
Heshima kwenu wakuu wana JF.

Leo Nimepata Wazo Nkaona niweze Ku share na nyinyi mnisaidie kushare pia mawazo,
Nina pendekezo kuwa endapo sheria ya uchaguzi itafanyiwa marekebisho na kuweka kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi kuanzia mwaka 2020 katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, napendekeza mkuu Maxence Melo na ONTARIO wachukue fomu ya kugombea ubunge , Hakika watashinda asubuhi na mapema.

Sababu, ni vijana waenye maono makubwa Sana juu ya mustakabali wa maisha halisi ya Mtanzania.

Nawasilisha ombi kwenu wana jamvi.
Heshima kwenu wakuu wana JF.

Leo Nimepata Wazo Nkaona niweze Ku share na nyinyi mnisaidie kushare pia mawazo,
Nina pendekezo kuwa endapo sheria ya uchaguzi itafanyiwa marekebisho na kuweka kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi kuanzia mwaka 2020 katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, napendekeza mkuu Maxence Melo na ONTARIO wachukue fomu ya kugombea ubunge , Hakika watashinda asubuhi na mapema.

Sababu, ni vijana waenye maono makubwa Sana juu ya mustakabali wa maisha halisi ya Mtanzania.

Nawasilisha ombi kwenu wana jamvi.
How long you been livin' in a cardboard box son?
 
Heshima kwenu wakuu wana JF.

Leo Nimepata Wazo Nkaona niweze Ku share na nyinyi mnisaidie kushare pia mawazo,
Nina pendekezo kuwa endapo sheria ya uchaguzi itafanyiwa marekebisho na kuweka kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi kuanzia mwaka 2020 katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, napendekeza mkuu Maxence Melo na ONTARIO wachukue fomu ya kugombea ubunge , Hakika watashinda asubuhi na mapema.

Sababu, ni vijana waenye maono makubwa Sana juu ya mustakabali wa maisha halisi ya Mtanzania.

Nawasilisha ombi kwenu wana jamvi.
ATAAMBIWA MKENYA APAMBANE NA JF TU
 
@Ontaria huyuhuyu wa Tatu mzuka?,

si ana miaka 21 huyo au?,


melo asiwe na haraka tutampa uwaziri wa habari kwanza
 
Heshima kwenu wakuu wana JF.

Leo Nimepata Wazo Nkaona niweze Ku share na nyinyi mnisaidie kushare pia mawazo,
Nina pendekezo kuwa endapo sheria ya uchaguzi itafanyiwa marekebisho na kuweka kipengele cha kuruhusu mgombea binafsi kuanzia mwaka 2020 katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, napendekeza mkuu Maxence Melo na ONTARIO wachukue fomu ya kugombea ubunge , Hakika watashinda asubuhi na mapema.

Sababu, ni vijana waenye maono makubwa Sana juu ya mustakabali wa maisha halisi ya Mtanzania.

Nawasilisha ombi kwenu wana jamvi.
Kuwa tu na maono huwa haitoshi kukubalika kisiasa. Suala hayo Ana uwezo wa kiushawishi kuyaweka hayo maono yaonekane ya kihisia na yenye kueleweka haraka hata kwa asiye na uelewa wa kutosha? Ujue hawaendi kugombea vyuo ni, bali kwa Watanzania ambao karibia 70% wako vijijini.
Ndiyo maana ni nadra sana msomi mzuri kuwa mwanasiasa mzuri. Na mbaya zaidi kwenye siasa ni pale unapokuwa na uelewa zaidi wa vitu (facts) vingi yaani utajikuta wakati unaomba kura unavailable kuwa mi-formula kibao ya kielimu. Fikiria ma-dokta na ma-profesa tulio hawezi kuongea utumbo utumbo kwa kuifanya 1+1 iwe 11 badala ya 2. But in Afrika, wanasiasa wazuri ni wale wenye uelewa wa fix nyingi kuliko data ambao kwao 1+1 kuitwa ni 11 ni kitu cha kawaida sana. Lakini la ajabu hao hao wanasiasa kuna wakati wanafana na wanafunzi wa Darasa la IV, wanapojibu swali la 1 - 3 kuwa jibe ni "haiwezekani" wakati jibu ni negative 2.
Na hiyo inatokana na ukweli kuwa, data/facts/objectivity/empirical haviwasaidii wananchi wa kawaida.
 
Kuwa tu na maono huwa haitoshi kukubalika kisiasa. Suala hayo Ana uwezo wa kiushawishi kuyaweka hayo maono yaonekane ya kihisia na yenye kueleweka haraka hata kwa asiye na uelewa wa kutosha? Ujue hawaendi kugombea vyuo ni, bali kwa Watanzania ambao karibia 70% wako vijijini.
Ndiyo maana ni nadra sana msomi mzuri kuwa mwanasiasa mzuri. Na mbaya zaidi kwenye siasa ni pale unapokuwa na uelewa zaidi wa vitu (facts) vingi yaani utajikuta wakati unaomba kura unavailable kuwa mi-formula kibao ya kielimu. Fikiria ma-dokta na ma-profesa tulio hawezi kuongea utumbo utumbo kwa kuifanya 1+1 iwe 11 badala ya 2. But in Afrika, wanasiasa wazuri ni wale wenye uelewa wa fix nyingi kuliko data ambao kwao 1+1 kuitwa ni 11 ni kitu cha kawaida sana. Lakini la ajabu hao hao wanasiasa kuna wakati wanafana na wanafunzi wa Darasa la IV, wanapojibu swali la 1 - 3 kuwa jibe ni "haiwezekani" wakati jibu ni negative 2.
Na hiyo inatokana na ukweli kuwa, data/facts/objectivity/empirical haviwasaidii wananchi wa kawaida.
Mkuu upo sahihi. Kuna jimbo lipo Dodoma, walimpiga chini Mbunge Msomi - Dr na kumrudisha jamaa kama kasoma sana basi F4 F!
 
Back
Top Bottom