Babu kishajitangaza kuwa mgombea mteule kupitia tikiti ya chadema?
Kweli hiki ni chama cha demokrasia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani Mzanzibari kati yao au Mzee ataigiza Uzenji!Lissu awe mgombea Urais na Lowassa awe mgombea mwenza
acha kutukatisha tamaa we mchawi niniLissu akiwa ndo mpeperusha bendera wa Ufipa, CHADEMA haitoambulia hata asilimia 20 ya kura!!
Acha umburula, ameshindwaje kuliongoza wakati wanajimbo tumepata elimu ya uraia na tumejitambua vya kutosha! Huku kwetu hatutaki ujinga!Hana sifa za kuongoza umeshindwa kuliongoza jimbo lake ataweza nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
acha kutukatisha tamaa we mchawi nini