telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Penda umpendae,usijilazimishe kupenda kumridhisha mtu hata siku moja.nimejikuta kujilazimisha kumpenda mtu.najuta.be aware..
yamenikuta haya ila nimejuya namna ya kujitoa ni kumpenda MUNGU na kuchagua YESU kuwa kiongozi wa maisha yako then na kumpa nafasi ya kutawala alafu wengine ltr chaguo jema halikuangushi cheers