Hatimaye uhuru wa Tanzania utapatikana rasmi mwaka 2015, uhuru kutoka utawala wa CCM uliochoka na kushindwa kuleta matumaini kwa Watanzania, hii ni lazima, ishara zote zimeshatimia (Imethibitika kisayansi ya siasa CCM haikarabatiki tena).
Haitakuwa rahisi sana, kutakuwa na pingamizi mahakamani la kesi itakayopelekwa na CCM kupinga ushindi wa CHADEMA, lakini itashindwa maana system yote itakuwa ni ya chadema.
Penda msipende, mtake msitake, muamini msiamini CHADEMA itachukua nchi mwaka 2015, hii nasema kwa nguvu yote. Watanzania wengi watu wa Mungu wameamua hivyo, na wale wenye kuamua wameshaamua hivyo. Tusukume siku tu.
Haitakuwa rahisi sana, kutakuwa na pingamizi mahakamani la kesi itakayopelekwa na CCM kupinga ushindi wa CHADEMA, lakini itashindwa maana system yote itakuwa ni ya chadema.
Penda msipende, mtake msitake, muamini msiamini CHADEMA itachukua nchi mwaka 2015, hii nasema kwa nguvu yote. Watanzania wengi watu wa Mungu wameamua hivyo, na wale wenye kuamua wameshaamua hivyo. Tusukume siku tu.