Pindima
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 347
- 82
Kwa mara ya tatu kwa macho yangu nashuhudia penati za hatari, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2004 robo fainali ya EURO kati ya URENO na ENGLAND sikosei alikuwa SIMAO SAMBROSA alifunga penati ya hatari ya pili alifunga ROBEN VAN PERSIE RVP mwaka huu
nahisi ilikuwa mechi na WOLVES na ya tatu nimeiona jana ANDREA PIRLO "FUNDI" akifunga penati nyingine ya hatari dhidi ya ENGLAND hebu nikumbushe na wewe uliziona penati ngapi kama zile? 2 minutes
nahisi ilikuwa mechi na WOLVES na ya tatu nimeiona jana ANDREA PIRLO "FUNDI" akifunga penati nyingine ya hatari dhidi ya ENGLAND hebu nikumbushe na wewe uliziona penati ngapi kama zile? 2 minutes