Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,189
- 16,306
Penalti ni ugonjwa wa moyo.
huwa sipendi sana mpira ukifikia hatua hii
Penalti ni ugonjwa wa moyo.
huwa sipendi sana mpira ukifikia hatua hii
penati kali kuliko zote duniani nilipiga mimi nikamfunga marehemu baba yangu!katoka zake kazini na suti yake katukuta tunapigiana penati kwa mpira wa chandimu eti akakaa golini adake penati yangu
nikaenda kupiga penati huku nazunguka ile style ya kupata kizunguzungu nilipoufikia mpira nikapiga DOCHI nikampiga tobo mdingi!eti mdingi mpira ushazama nyavuni akaruka upande wa kulia!watu walicheka sana!tatizo hatukurekodi video ningewawekea you tube!