OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,882
Huyu ni Cristian Ronaldo anakipaji ana ujuzi na uzoefu wa kupiga penalty. Ila linapokuja suala la kupiga penalty ya mwisho itakayo amua ushindi wa timu yake ya Taifa huonekana kujawa na hofu plus wasi wasi
Huirudisha hali ya utulivu wa mwili na akili kabla hajaupiga mpira kwa kufanya hivi
Kuvuta pumzi
Huu uzi ni wa kukutia moyo na kukupa mbinu unapokuwa ktk hali ya presha mfano kwenye interview au popote pale ukajikuta unapoteza kujiamini ghafla moyo unadundq kuliko kawaida kijasho chembamba kinakutoka na unatakiwa kufanya maamuzi ya haraka
Vuta pumzi
Kuna siri kubwa ktk kuvuta pumzi, utanishukuru baadae
Nawasilisha
Huirudisha hali ya utulivu wa mwili na akili kabla hajaupiga mpira kwa kufanya hivi
Kuvuta pumzi
Huu uzi ni wa kukutia moyo na kukupa mbinu unapokuwa ktk hali ya presha mfano kwenye interview au popote pale ukajikuta unapoteza kujiamini ghafla moyo unadundq kuliko kawaida kijasho chembamba kinakutoka na unatakiwa kufanya maamuzi ya haraka
Vuta pumzi
Kuna siri kubwa ktk kuvuta pumzi, utanishukuru baadae
Nawasilisha