Pembeni ya Msikiti atakaouzindua Rais Samia kuna Stendi Kuu ya matope Bukoba. Anaweza asiione kabisa!

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,383
14,194
Rais Samia anaenda Bukoba!

Najua viongozi wa manispaa ya Bukoba watampitisha sehemu ambazo wanajua wao...na watafanya hasione kabisa uchochoro huu unaoitwa stendi kuu ya mkoa unaochafua mji wa Bukoba.

Just imagine atafungua huo msikiti mita mbili kutoka ilipo hii stendi ya umma.

Mimi nilitegemea may be mama samia anaenda kufungua mradi wa stendi kuu ya mabasi kule kyakairabwaa (ambao sijui nao unakwamishwa na nini) au may be anafungua ujenzi wa soko kuu la Bukoba, au kuna kampuni kubwa limejitokeza kununua vanilla na kahawa ya bukoba so anatia saini mkataba au basi

Barabara sasa, barabara zote karibu na huo msikiti lami imekatikakatika na haina mitaro bado ni finyu kweli kweli, lakin anaweza hasizione kabisa yani hizi siasa bwana.

Mita 500 kutoka msikitini kuna soko kuu la mkoa..soko lenye wafanyabiashara zaidi ya 5000 na wanalipa kodi kila siku lakini mazingira yao sasa full matope kama unavyojua mvua za bukoba.

Anyway mimi niliachaga kuipambania Bukoba, maana kuna tatizo kubwa sana nchini kuanzia Bukoba na Tanzania nzima.

Tazama msikiti ulipo na stendi ilipo, na hataiona stendi

Inkedstend_LI.jpg
JamiiForums1221916563.jpg
BK%202020.PNG
 
Rais Samia anaenda Bukoba!!
Najua viongozi wa manispaa ya Bukoba watampitisha sehemu ambazo wanajua wao...na watafanya hasione kabisa uchochoro huu unaoitwa stendi kuu ya mkoa unaochafua mji wa Bukoba...

Just imagine atafungua huo msikiti mita mbili kutoka ilipo hii stendi ya umma....

Mimi nilitegemea may be mama samia anaenda kufungua mradi wa stendi kuu ya mabasi kule kyakairabwaa ( ambao sijui nao unakwamishwa na nini) au may be anafungua ujenzi wa soko kuu la bukoba...au kuna kampuni kubwa limejitokeza kununua vanilla na kahawa ya bukoba so anatia saini mkataba...au basi

Barabara sasa...barabara zote karibu na huo msikiti lami imekatikakatika na haina mitaro bado ni finyu kweli kweli...lakin anaweza hasizione kabisa yani hizi siasa bwana...


Mita 500 kutoka msikitini kuna soko kuu la mkoa..soko lenye wafanyabiashara zaidi ya 5000 na wanalipa kodi kila siku lakini mazingira yao sasa full matope kama unavyojua mvua za bukoba...


Anyway mimi niliachaga kuipambania bukoba...maana kuna tatizo kubwa sana nchini kuanzia Bukoba na Tanzania nzima...

Tazama msikiti ulipo na stendi ilipo....na hataiona stendiView attachment 2253360View attachment 2253361View attachment 2253362
Yan umeanza kumjudge hatakabla hajafika huko, hiyo ni chuki kijana
 
Mimi binafsi ninaamini kuzorota kwa maendeleo ya mkoa wa Kagera hususani mji wa Bukoba, kumetokana na mambo haya;
1. Makusudi ya watawala (Tangu zamani wahaya walionekana ni watu threat dhidi ya mtawala)

2. Ujuaji mwingi baina ya wenyeji wa Kagera wenyewe. (Kihistoria wenyeji wa Kagera wengi ni werevu, na hiyo ikawafanya kuwa wajuaji)

3. Kubweteka kwa wahaya.
(Zama zilipoanza kubadilika (waliolala walipoanza kuamka) wenyeji wa Kagera wakaendelea na swaga zile zild za kujisifu, kukimbia kwao na kujivunia maisha binafsi badala ya kuendeleza kwao)

4. Ubinafsi uliokithiri miongoni mwa wenyeji wa Kagera waliofanikiwa.
 
Rais Samia anaenda Bukoba!!
Najua viongozi wa manispaa ya Bukoba watampitisha sehemu ambazo wanajua wao...na watafanya hasione kabisa uchochoro huu unaoitwa stendi kuu ya mkoa unaochafua mji wa Bukoba.

Just imagine atafungua huo msikiti mita mbili kutoka ilipo hii stendi ya umma.

Mimi nilitegemea may be mama samia anaenda kufungua mradi wa stendi kuu ya mabasi kule kyakairabwaa ( ambao sijui nao unakwamishwa na nini) au may be anafungua ujenzi wa soko kuu la bukoba...au kuna kampuni kubwa limejitokeza kununua vanilla na kahawa ya bukoba so anatia saini mkataba...au basi

Barabara sasa...barabara zote karibu na huo msikiti lami imekatikakatika na haina mitaro bado ni finyu kweli kweli...lakin anaweza hasizione kabisa yani hizi siasa bwana...

Mita 500 kutoka msikitini kuna soko kuu la mkoa..soko lenye wafanyabiashara zaidi ya 5000 na wanalipa kodi kila siku lakini mazingira yao sasa full matope kama unavyojua mvua za bukoba.

Anyway mimi niliachaga kuipambania bukoba...maana kuna tatizo kubwa sana nchini kuanzia Bukoba na Tanzania nzima.

Tazama msikiti ulipo na stendi ilipo....na hataiona stendi

View attachment 2253360View attachment 2253361View attachment 2253362

Acheni ujuaji watu wa Kagera
Mna ujuaji mwingi sana na fitna kwa wasiokuwa wazawa wa mkoa wenu, ndo maana mji hausongi mbele mnabaki na ndizi tu bila maendeleo ya maana
 
Back
Top Bottom