Jana wana harakati walifika Dar kutoka Arusha wakipinga mauaji ya tembo wakati inaonekana 75% ya pembe za ndovu haramu duniani zinatoka Africa wakati TZ inatoa zaidi ya 41% peke yake.mi ndhani serikali inawajua hawa wahusika na kuto wakamata ni kukiri kwamba nao ni wahusika no1,serikali iungane na wana harakati hao kupinga vita na kuwaelimisha wananchi wa maeneo ya jirani..