delusions
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 5,003
- 1,278
Askari mahiri wamekamata pembe za ndovu 18 zenye thamani ya tsh 200 milioni wilaya ya tunduru mkoa wa ruvuma pembe hz ni kutoka tembo 9 waliouwa watuhumiwa wako rumande big up sana polisi waliofanya uzalendo kwa kukataa kuhongwa source chanel ten newz saa 2