BOB OS
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 3,462
- 7,003
hatimaye speed imeimarika
umefanyaje?
hatimaye speed imeimarika
Wakuu kwa takribani week sasa naona speed ya PD proxy inasua sua sana slow vibayaa...nimejaribu kubadili server ila wapiii..nimebadili line nayo bila bila..Tunnel guru nayo hivyo hivyo..je tatizo hili lipo kwangu tu? kama ni kwangu tatizo ni nini?
msaada wadau
Usijali Port huwa zinabadilika badilika hiyo sio ishu hata kidogo
Kaka BASI letu wameshafanya yao
TG,PD proxy,meteorVPN hakuna inayo connect
Dah majanga gani tena haya?mkuu port zako zishafungwa
tunasubiri nyingine maana ulisema there is a way forward
Watu tulikuwa tumenyamaza kimya tunajisevia muvee but hawa Divishen 5 wamekuja kutuharibia,sijui itakuwaje tena maana alternative way bila bila na kuunga bundle nazo ngumu kumezza
Duh mabundi tena nyambavu sana hawa watoto wa NyalichakoHahah ngoja watu warudi kuwa mapopo wa wajinga night.
Mbona mimi nakula maisha kama kawaida
Dah majanga gani tena haya?
But Najipa moyo kwamba ni service tu huko juu then baada ya muda tutaendelea kujilia vyetu kama kawa
mkuu port zako zishafungwa
tunasubiri nyingine maana ulisema there is a way forward
Usijali Port huwa zinabadilika badilika hiyo sio ishu hata kidogo
hacha uni broMbona mimi nakula maisha kama kawaida