Eti ...MALIZIA METHALI ZIFUATAZO
1.MSAFIRI MASKINI..........
2.MKONO MMOJA.........
HESABU SASA
6×0=
7×6=
haaaaa yaaani saa 6 mpaka saa kumi na moja ndo tunaanza jamani hali inatisha ....
wasahishaji itabidi waangalie hili jibu kwa umakini na kuzingatia kizazi tulichonacho!mkono mmoja weka juuu ,weka juuu chege moko .yule Mburahat primary school alikuwepo?
Ndio aptitude test hiyo mkuu. Niliwaona watu wengi wakiwa wampendeza!
Wakaka mashati na mkanda nje, barber shope wakiwa wamewaweka safi kabisa, zile suruali za kata K leo sikuziona.
Wadada wamependeza kabisa kwa nguo za adabu, zile nguo zao zilee vivazi (vigauni vya juu ya magoti na suruali za kutamanisha sikuziona leo.
Kumbe wa Tz tukiamua tunaweza, tusingoje interview tu bali tuwe na mavazi ya heshima jamani.
Leo bodaboda nao wamepiga kazi sana kuwawahisha watu kwenye foleni pale sabasaba na maeneo ya jirani, na jana juzi vinyozi wamepiga mzigo wa kutosha. Hata stationary naona wameuza sana ballpen na bahasha za khaki (A4).
Ndiyo hivyo mambo ni kutegemezana huku mkingojea majibu ya aptitude test next week.
Hyo methali ya pili mi ningejibu WEKA JUU kama chege!
Sio wavuta bangi kaka embu jibu hizo methali .. da only ib tanzania sijawahi ona hiii kitu
mkono mmoja weka juuu ,weka juuu chege moko .yule Mburahat primary school alikuwepo?
Ukiwamo na weweYuwiii leo nimekutana na thread ya wavuta bangi.
Ndio aptitude test hiyo mkuu. Niliwaona watu wengi wakiwa wampendeza!
Wakaka mashati na mkanda nje, barber shope wakiwa wamewaweka safi kabisa, zile suruali za kata K leo sikuziona.
Wadada wamependeza kabisa kwa nguo za adabu, zile nguo zao zilee vivazi (vigauni vya juu ya magoti na suruali za kutamanisha sikuziona leo.
Kumbe wa Tz tukiamua tunaweza, tusingoje interview tu bali tuwe na mavazi ya heshima jamani.
Leo bodaboda nao wamepiga kazi sana kuwawahisha watu kwenye foleni pale sabasaba na maeneo ya jirani, na jana juzi vinyozi wamepiga mzigo wa kutosha. Hata stationary naona wameuza sana ballpen na bahasha za khaki (A4).
Ndiyo hivyo mambo ni kutegemezana huku mkingojea majibu ya aptitude test next week.