Wadau pc yangu ni Dell toleo la zamani, wakati nafanya shighuli zangu za kawaida imekata moto gafla ila adapta inawaka kama kawaida sema pc yenyewe ndo haiwaki.
Nina mpango wa kumwaona fundi ila kabla sijaenda wataalam labda mnisaidie shida inaweza kuwa nini na gharama inaweza kuwaje ili nijipange.
Msaada tafadhari!
Nina mpango wa kumwaona fundi ila kabla sijaenda wataalam labda mnisaidie shida inaweza kuwa nini na gharama inaweza kuwaje ili nijipange.
Msaada tafadhari!