Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,097
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Kwa miaka mingi sasa tumekuwa tukiumia sana na hili swala la kutokuweza kupokea malipo kupitia paypal, binanfsi ni member wa paypal toka mwaka 2007, hadi leo ni miaka 8 mwendo ni ule ule wa kufanya matumizi tu, kupokea malipo imekuwa ni ndoto.
Muda umefika sasa wa kuungana ili sauti za vilio vyetu zisikike walau mwaka 2016 nasi tuanze nufaika na huduma hii.
Karibu tupange wote mikakati ya kuwezesha swala letu kushughulikiwa, kama tukiweza fika watu hamsini litakuwa jambo jema sana na litarahisisha mambo mengi.
Ntaanza kwa kutengeneza group whats app, 0713752285, tuma message paypal petition, ntakuadd kwenye group.
Kama haupo whats app, pm your number, ntakushirikisha kwenye kila hatua.
Hakuna kurudi nyuma hadi tufanikiwe.
Together we can.
UPDATES: 04/12/2015.
UFAFANUZI:
Kwa miaka mingi sasa tumekuwa tukiumia sana na hili swala la kutokuweza kupokea malipo kupitia paypal, binanfsi ni member wa paypal toka mwaka 2007, hadi leo ni miaka 8 mwendo ni ule ule wa kufanya matumizi tu, kupokea malipo imekuwa ni ndoto.
Muda umefika sasa wa kuungana ili sauti za vilio vyetu zisikike walau mwaka 2016 nasi tuanze nufaika na huduma hii.
Karibu tupange wote mikakati ya kuwezesha swala letu kushughulikiwa, kama tukiweza fika watu hamsini litakuwa jambo jema sana na litarahisisha mambo mengi.
Ntaanza kwa kutengeneza group whats app, 0713752285, tuma message paypal petition, ntakuadd kwenye group.
Kama haupo whats app, pm your number, ntakushirikisha kwenye kila hatua.
Hakuna kurudi nyuma hadi tufanikiwe.
Together we can.
UPDATES: 04/12/2015.
So far watu6 wameshajitokeza kuunganisha nguvu katika hili, watu wengi zaidi wa kada mbali mbali mnakaribishwa kuweza kuungana pamoja na kufanikisha hili.
UFAFANUZI:
Whats app itatumika kama media of communication tu na si vinginevyo, hatuwezi arrange vikao kwa kutumia public domain, pia kuna mambo mengine hayatokuwa yanahitaji kusemwa in public, kama mnaenda onana na mtu flani, or mmepanga kutana sehemu flani, hamuwezi weka hayo mambo in public, hadi pale tutapoona taarifa hii inafaa kuwa shared ndio tutaiweka humu na kwingine kokote tutapoona inafaa.