PAYE imeongezeka?

PAYE imeongezeka?

Naseeb

Member
Joined
Jul 17, 2009
Posts
39
Reaction score
4
HESHIMA YENU WANA JAMVI!

leo nilikua na pitia kwenye tovuti ya TRA nikagundua kua PAYE imeongezeka kwa wale wenye mishahara kuanzia laki saba na kuendelea.

my take on this, increase your negotiation capabilities and alway stick on net pay
 
tax blanket imeongezeka, sikilizia salary slip yako ya mwezi huu utaona
 
Si kweli ..... PAYE imeshuka kiduchu mno ...... PAYE hazibadilishwi kinyemela ni kupitia Bunge... mabadiliko haya ni kuanzia july 2014....
 
imeshuka kwa wale wenye mshahara Below 7k, ukiwa above ya hapo maumivu kaka. nenda kwenye TRA website kwenye paye calculator type your salary then compare na uliyo katwa mwezi ulio pita kama ziko sawa. if and only your salary is above 7k
 
imeshuka kwa wale wenye mshahara Below 7k, ukiwa above ya hapo maumivu kaka. nenda kwenye TRA website kwenye paye calculator type your salary then compare na uliyo katwa mwezi ulio pita kama ziko sawa. if and only your salary is above 7k

Kiwango cha juu cha kozi kwa mhahara unazidi TZs 720,000 ni 30%; sasa ukisema kodi imeongezeka unamaani kiwango cha 30% sicho kinachotumika ni zaidi ya hicho..........kweli haimo ndani yako
 
imeshuka kwa wale wenye mshahara Below 7k, ukiwa above ya hapo maumivu kaka. nenda kwenye TRA website kwenye paye calculator type your salary then compare na uliyo katwa mwezi ulio pita kama ziko sawa. if and only your salary is above 7k

haijaongezeka labda umetumia calculator ya zanzibar ndiyo ina rate juu
 
Kiwango cha juu cha kozi kwa mhahara unazidi TZs 720,000 ni 30%; sasa ukisema kodi imeongezeka unamaani kiwango cha 30% sicho kinachotumika ni zaidi ya hicho..........kweli haimo ndani yako

Kama unapata gross ya 720,000 PAYE ni 103000 pluss difference of the excess which is zero times 30%,utapata zero whatever you calculate from 540,000
 
Ni kwa wale wenye rate iliyokuwa ya 13% na imekwenda kuwa 12%. Ni kama ongezeko la Tzs.1,000/= ( buku tu) iliyoongezeka.
 
Back
Top Bottom