Magufuli naye ndo walewale tu.
Soda yake ishaisha nguvu.
Halafu ni muongo.
Magufuli ni mtu wa 'stunts'...
Mara kapiga simu kwenye TV..
mara apige simu tena ataleta pay slip
mara aende bank mwenyewe.....mradi kila siku ana 'new stunts'....
kila siku yupo kwenye headline...asipofukuza huyu kaibukia huku....
wewe hueleweki, ni kama kinyongaHivi nikisema Magufuli ni muongo nitakuwa nimekosea?
wewe hueleweki, ni kama kinyonga
Mkuu,watu wa humu Jf wananishangaza!wanapenda mtu akiwa c.c.m basi usifie kila kitu cha c.c.m,na ukiwa ukawa basi usifie kila kitu cha ukawa!na ukiwa neutral,unaonekana gamba!yaaani,dah!We mwenyewe hueleweki.
Si alisema mwenyewe mkulu kwani ni ss tumwambia atuonyeshe hizo stub zakeTaasisi ya Urais siku hizi! Mmmh! Kila mtu anajibwatukia tu..
Kwa mfano hata ukijua hizo stubs, wewe zinakusaidia nini? Will it change anything? How?
You always find a weak point to cling on so that you can remain relevant.. The Boss calls it 'stunt'!
Mkuu NN, jamaa hapendi kusemwa. Usimjaribu hata kidogo. Usimpangie.Magu...how much do we tax payers pay you for a salary?