Mwenye enzi Mungu ni wa ajabu kwani katika waliopoteza maisha(ALLAH TWAOMBA UWAREHEMU) wapo watoto ambao wazazi wao ni manazi wa ccm."chuki mbaya yakudhuru nawe mwenyewe".Pole sana .Ni tukio la kusikitisha na wakati huohuo maneno ya baadhi ya viongozi wetu yanatoa taswira kuwa sababu waliojeruhiwa au kufa ni waenzi wachadema basi mawili siyo watanzania au hawana uhalali wakuwa watanzania na pili labda wamewafananisha na kuku kwamba damu yao haina thamani.
halafu wajinga kadhaa wanasema mambo ya ajabu sana
kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
Kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
hUWEZI TOA HUKUMU HARAKA KIASI HICHO. INGEKUWA MIMI NIMESEMA NI JIWE LIMEANGUKA JUU YA JUKWAA WALILOKUWA WAMESIMAMA UNGENAMBIA PIA NIMEKOSEA NA KUTAKIWA KUKAMATWA?Kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
Kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
Kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
Umesema: "Nilipofika kwenye gari niliona kwa mbali gari la polisi pia likiondoka kwa kasi eneo hilo, nami pia niliondoa gari hadi baa maarufu ya Arusha Night Park na kuliegesha hapo. "
Pia "Kila moja alikuwa na ushuhuda wake, wengine walidai kumwona aliyerusha bomu likiwa katika mfuko mweusi wa ‘plastiki' (rambo), wengine walidai baada ya kutupa alikimbia na wananchi walipojaribu kumfukuza, polisi waliwarushia mabomu ya machozi, wengine walidai alikimbia na kuingia ndani gari jeupe aina ya Landrover TDI. Kila mmoja alikuwa na hadithi tofauti."
Mtoto aliyenukuwa na gazeti la mwananchi alisema polisi ndio waliowapiga risasi.
Hadi saa 4 usiku hakukuwa na kiongozi yeyote wa serikali hospitalii kuwajulia hali wahanga wa bomu.
Baadae zitakoka kauli za kiitikadi kutoka kwa Lukuvi, Nape, Pinda na wabunge wa CCM wakisema CDM wamejilipua wenye!
Bomu lilipolipuka Kanisani, walifika na kufunika chanzo chake haraka. Rais aliahirisha safari!!!
TUWE MAKNI, TULIJARIBU UDINI SIKU MMEONA NUSURA UTUGAWE. SASA UGAIDI TENA NDIO MBYA HASA PALE IMANI YETU WANACHI (WENYE NCHI) ITAKAPOKOMA KWA DOLA, WANANCHI WATATAFUTA NJIA MBADALA ZA KUJILINDA.
PIA TUSISAHAU KWA SASA TZ INA MAADUI WENGI (Malawa na Rwanda); pia AL-Shabab wanatafuta kujiimarisha. vitendo vya aina hii vinaweza kuwashawishi watu kirahisi kushirikiana na maadui.!
Kama lema aliweza kujua mapema kiasi hicho kuwa ni bomu limelipuka basi akamatwe maana atakuwu na taarifa nyingi zilizojificha. Haiwezekani akawa wa kwanza kusanuka kuwa ni bomu kama hakuwa muhusika wa huo mlipuko. Hata historia yake ya nyuma siyo nzuri kabisa.
Kuna jambo halijasemwa na wanahabari wetu aidha wanaogopa ama wamewekwa sawa na dola ni kwamba shambulio hilo lilimlenga moja kwa moja mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini.
Kama hujuma hiyo ingefanikiwa,naamini machafuko ambayo yangeibuka hata huo ugeni wa Obama ungeharishwa. Ni matumaini yangu baada ya kuondoka ugeni wa Obama na kumalizika kwa bunge la bajeti,JK atafanya mabadiliko makubwa ktk safu ya uongozi wa taasisi za usalama na baraza la mawaziri!!
wahusika huko mliko jueni mtakamatwa tu