mchuziwanyoka
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 374
- 30
Kifo cha nyani miti yote huteleza,
ccm kimepoteza uhalali wa kuwepo madarakani (serikali sio ya Watz tena), sasa tunapaswa kuiondosha, na kuweka mbadala wake. Kusubiri 2015 yaweza kuwa ni kuruhusu mauaji zaidi.
sawa tumekuelewa mangi