kisepi
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 2,066
- 991
Arusha unaiona juu juu tu,achezee mifumo ya watu ya pesa hapo uone kama hata week atachukua,hao wadudu wanachangamsha jiji tu,Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna lolote😂😂😂😂😂