GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Tokea Wiki hii ianze mlikuwa mnatamba tu huko Dodoma huku mkijiaminisha kuwa mmoja wenu atakuwa PM ajaye wa Tanzania hatimaye wote Wawili Mama kawala Vichwa na ha hamjaamini kabisa.
Na kuna mmoja wenu hapo kila Siku alikuwa anaoga Maji ya Mganga wake wa Kienyeji kutoka Mkuranga ambaye anaisaidia mno Timu kubwa moja Tanzania ili Mama amuone Yeye tu lakini bado hajafua dafu.
Doto Biteko najua Uwaziri utaupata ila nina wasiwasi na Paul Makonda hata kuwa Waziri kwani ana Undumilakuwili mwingi na ana lawama za mambo mengi yanayolazimisha sasa Wimbo wa Maridhiano uwe unaimbwa kila mara.
Hongera sana Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba na najua hutoiendeleza tu Singida yako bali hata Kwetu kwa Watani zangu Mkoa wa Mara nako utakuendeleza vile vile.
Asante Rais Samia kwa Kubalansi mzani katika Teuzi zako. Spika Simba SC lia lia na Waziri Mkuu Yanga SC kindakindaki.
Na kuna mmoja wenu hapo kila Siku alikuwa anaoga Maji ya Mganga wake wa Kienyeji kutoka Mkuranga ambaye anaisaidia mno Timu kubwa moja Tanzania ili Mama amuone Yeye tu lakini bado hajafua dafu.
Doto Biteko najua Uwaziri utaupata ila nina wasiwasi na Paul Makonda hata kuwa Waziri kwani ana Undumilakuwili mwingi na ana lawama za mambo mengi yanayolazimisha sasa Wimbo wa Maridhiano uwe unaimbwa kila mara.
Hongera sana Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba na najua hutoiendeleza tu Singida yako bali hata Kwetu kwa Watani zangu Mkoa wa Mara nako utakuendeleza vile vile.
Asante Rais Samia kwa Kubalansi mzani katika Teuzi zako. Spika Simba SC lia lia na Waziri Mkuu Yanga SC kindakindaki.