Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Naomba mwenye ile picha amezungukwa na maafisa wa vikosi vya ulinzi na usalama na akiwa amebebwa na wana FFU atutupie hapa.
Nilipokuwa naangalia picha ile nyakati zile zikumtofautisha bashite na Idd Amini Dada. Nilisikitika sana alivyokuwa akisindikizwa na walinzi na kubebwa jujuu na juu na wana FFU. LOO! Ama kweli dunia tambala bovu
 
Kama anaogopa kweli basi atafute nchi ya kuhamia kama mkimbizi. Hii nchi inaelekea kuwa kama Pakistan, watu wanalipizana visasi kila kukicha.
Acha walipwe hapahapa, waliosema malipo ni hapa duniani hawakukosea.

Huyu alikuwa "anaojimwambafai"kwa kutishia na kuua watu huku akijificha katika hadaaa kubwa ya propaganda ya kujifanya eti anasaidia watu huku akipitisha mali zisizolipiwa kodi.

Nani atasahau makontena 40 yenye samani kwa jina lake?
Hayo mazuri aliyoorodhesha ilikuwa ni hadaa tu lakini mara nyingi uongo haudumu.
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Paul Makonda anaweza akawa yuko sahihi mahala fulani, ila Kinachonishangaza na leo pia Kimenithibitishia kuwa ni Kweli hana Akili ni kuona akilalamikia yale ambayo Yeye alipokuwa DC wa Kinondoni na hasa hasa RC wa Dar es Salaam aliyafanya kwa Watanzania wengi kwa Niaba ya aliyekuwa Boss wake na kwa Interests zao.

Ushauri wangu mkubwa Kwake ( Paul Makonda ) ni kumuomba tu autumie muda wake mwingi kwa Kusali sana kwa Mwenyezi Mungu na Kutubu Dhambi zake zote ambazo leo hii ndiyo zinamgharimu na Kugeuka kuwa Laana Kwake na pia awaombe Radhi Watanzania na wale waliopitia Mateso yake akianzia na aliyekuwa Waziri Mkuu Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba pamoja Wengineo wengi tu.
 
Huyu mshenzi mpaka US walimpa ban, wanyamwezi walijua zamani sana ushenzi wake, ushamba na roho mbaya vinalipa sana
 
Ule msemo kuwa 'Malipo ni hapahapa duniani' unatimia Kwa vitendo! Anatakiwa atubu na aseme uovu wote alioshiriki kuutenda ,hapo atapata Amani ya nafsi!
 
Paul Makonda anaweza akawa yuko sahihi mahala fulani, ila Kinachonishangaza na leo pia Kimenithibitishia kuwa ni Kweli hana Akili ni kuona akilalamikia yale ambayo Yeye alipokuwa DC wa Kinondoni na hasa hasa RC wa Dar es Salaam aliyafanya kwa Watanzania wengi kwa Niaba ya aliyekuwa Boss wake na kwa Interests zao.

Ushauri wangu mkubwa Kwake ( Paul Makonda ) ni kumuomba tu autumie muda wake mwingi kwa Kusali sana kwa Mwenyezi Mungu na Kutubu Dhambi zake zote ambazo leo hii ndiyo zinamgharimu na Kugeuka kuwa Laana Kwake na pia awaombe Radhi Watanzania na wale waliopitia Mateso yake akianzia na aliyekuwa Waziri Mkuu Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba pamoja Wengineo wengi tu.
Usimshtue aisee,asije akatubu kweli halafu akaingia mbinguni, huyu muache aendelee na kijiburi chake ili ashughulikiwe hapa duniani then akifika kuzimu aanze tens kushughulikiwa sawa sawa na matendo yake...
 
Usiishi kwa kiburi SPONSER hufariki.

Acha avune alichopanda wakati yeye anakula bata kuliko watu wote duniani ,wenzake walikuwa wanakula nzi.

Mimi huyo jamaa namcheki tu acha apambane na mambo yake.

Damu za waty wengi sana zinamlilia huyo jamaa mshamba
 
Life tu
Anadhani tumesahau ushenzi aliyoifanya Dodoma kwa baraka za yule mshenzi aliyeng'olewa roho na malaika wahuni.
Mungu akikuchoka anatuma malaika wahuni wakutoe roho.
Ni suala la muda mfupi tu roho yako itatolewa wewe Makonda
Malaika wahuni tena
 
Back
Top Bottom