Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,154
- 27,149
Baada ya dhiki ni faraja.Baada ya raha inafuataga nini?
Ally HappyDr. Magufuli
Ndugai
Lukuvi
Polepole
Bashiru
Kalemani
Sabaya
Bashite
Chalamila
Chain ni ndefu ila Mzee amewaaacha pabaya sana vijana wake.
nguvu ya mamba kumayi 😂Ama kweli nguvu ya mamba ni maji...
Acha walipwe hapahapa, waliosema malipo ni hapa duniani hawakukosea.Kama anaogopa kweli basi atafute nchi ya kuhamia kama mkimbizi. Hii nchi inaelekea kuwa kama Pakistan, watu wanalipizana visasi kila kukicha.
Paul Makonda anaweza akawa yuko sahihi mahala fulani, ila Kinachonishangaza na leo pia Kimenithibitishia kuwa ni Kweli hana Akili ni kuona akilalamikia yale ambayo Yeye alipokuwa DC wa Kinondoni na hasa hasa RC wa Dar es Salaam aliyafanya kwa Watanzania wengi kwa Niaba ya aliyekuwa Boss wake na kwa Interests zao.Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
Kwa kupenda sifa, siku ya ripoti asiwepo Ikulu? Huyu lazima anahusikaTatizo Ni kwamba Bashite alikuwepo Dodoma siku Lissu anashambuliwa. Na haya kasema Lissu mwenyewe.
Ametengeneza nini?paulo kafanya kazi kubwa kweli kulit3ngenezq jj la dar .yeyote atakayejidanganya kutaka kumdhuru au kumpachikia li kesi la kizandiki,Basi awe tayari kwenda Burundi forever!!
😎Umesema?Ulipokuwa unakimbia jogging kuelekea ofisi za mkuu wa mkoa wa morogoro baada ya kutoka dodoma umesahau?
Usimshtue aisee,asije akatubu kweli halafu akaingia mbinguni, huyu muache aendelee na kijiburi chake ili ashughulikiwe hapa duniani then akifika kuzimu aanze tens kushughulikiwa sawa sawa na matendo yake...Paul Makonda anaweza akawa yuko sahihi mahala fulani, ila Kinachonishangaza na leo pia Kimenithibitishia kuwa ni Kweli hana Akili ni kuona akilalamikia yale ambayo Yeye alipokuwa DC wa Kinondoni na hasa hasa RC wa Dar es Salaam aliyafanya kwa Watanzania wengi kwa Niaba ya aliyekuwa Boss wake na kwa Interests zao.
Ushauri wangu mkubwa Kwake ( Paul Makonda ) ni kumuomba tu autumie muda wake mwingi kwa Kusali sana kwa Mwenyezi Mungu na Kutubu Dhambi zake zote ambazo leo hii ndiyo zinamgharimu na Kugeuka kuwa Laana Kwake na pia awaombe Radhi Watanzania na wale waliopitia Mateso yake akianzia na aliyekuwa Waziri Mkuu Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba pamoja Wengineo wengi tu.
Malaika wahuni tenaLife tu
Anadhani tumesahau ushenzi aliyoifanya Dodoma kwa baraka za yule mshenzi aliyeng'olewa roho na malaika wahuni.
Mungu akikuchoka anatuma malaika wahuni wakutoe roho.
Ni suala la muda mfupi tu roho yako itatolewa wewe Makonda