Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 209
- 236
Nadhani Maskioni mwetu jina la Paul Makonda sio jina geni, kiongozi huyu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na aina ya utendaji wake wa kazi.
Alifanikiwa kuanzia operation mbalimbali ambazo zilizaa matunda makubwa sana, kuanzia operation ya madawa ya kulevya pamoja na ile ya Kukataa mashoga.
Lakini kiongozi huyu alipotea maskioni mwa watu mara baada ya kuwania ubunge mwaka 2020.
Maswali yalikuwa na mengi sana kiasi kwamba kila mmoja alisema lake.
Lakini hivi juzi ameteuliwa na kuwa katibu wa itikadi na uenezi chama cha mapinduzi taifa.
Je, mwana jamvi mwenzangu hii unaichukuliaje?
Karibu tujifunze kitu kupitia kiongozi huyu.
Alifanikiwa kuanzia operation mbalimbali ambazo zilizaa matunda makubwa sana, kuanzia operation ya madawa ya kulevya pamoja na ile ya Kukataa mashoga.
Lakini kiongozi huyu alipotea maskioni mwa watu mara baada ya kuwania ubunge mwaka 2020.
Maswali yalikuwa na mengi sana kiasi kwamba kila mmoja alisema lake.
Lakini hivi juzi ameteuliwa na kuwa katibu wa itikadi na uenezi chama cha mapinduzi taifa.
Je, mwana jamvi mwenzangu hii unaichukuliaje?
Karibu tujifunze kitu kupitia kiongozi huyu.