ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Twasubiri tuone, Mwana mpendwa wa Mfalme Jiwe, Prince Makonda mwana wa Bashite, atațokewa na nini. Ingekuwa maneno aliyoyasema yametokea kwa mmoja wa waliyo upinzani, ungewasikia wengi tu pamoja na mbwa koko wanabweka. Amen.Ninavyo mjua jiwe hana urafiki wa kudumu lolote laweza kutokea, kama ilivyokuwa kwa mhongo na nchemba mwiguru
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app