hao ni wafuasi wa slaa aliotoka nao cdm na kwenda nao ccmNa asipotumbuliwa sisi wananchi tunafaidika nini
umeyasahau yaliyomkuta Nape ?
Nenda wewe ukachukue nafasi ya Irene maana inaonekana unamuonea wivu sana.Kamanda ulisharudi nyumbani kwa Familia au bado uko chimbo!?
Tumia akili kusoma andiko ndio uchangie we mtu!Kiongozi wa Chama cha Upinzani anatuambia hapa kuwa laana ni kosa la jinai.
Umeachwa gesti na danga huna hata hela ya kuchukua Bajaj povu linakumwagika kama umekunywa Foma gold ndoo na nusu.Nenda wewe ukachukue nafasi ya Irene maana inaonekana unamuonea wivu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi radio mbao zina vituko mkuu, nilisikia radio mbao moja kuwa kuna kijana amefanya kazi kubwa kumtafutia bwana mkubwa mmoja wajuzi wa mambo ya gizani wamlinde, basi unaambiwa huyo kijana hata mseme nini kwa bwana mkubwa mtaishia kutukanwa nyie basi.Magufuli nasikia makonda ndio nguzo yake
Serekali inauza makontena kwa mnada .yeye anawatisha wananchi wasinunue watapata laana. Sasa kama unaakili timamu huoni kosa hapo?Mkuu hebu tusaidie amefanya kosa gani au amevunja sheria ipi ya TZ?
Ni vyema ukasoma alichoandika mleta thread badala ya kuja na mibange yako ya siku zote. Hivi vijana wa ccm lini mtakuwa na akili mbadala? kwanini akili zenu ni za kuokoteza siku zote?Kiongozi wa Chama cha Upinzani anatuambia hapa kuwa laana ni kosa la jinai.
Enzi za nyerere angesikiwa tuu ameleta makontena 36 yeye binafsi angekua kijijini saa hii chini ya uangalizi.Vijizawadi vinatia shaka sana
Laana ni kosa la jinai? Kifungu kipi cha Penal Code? Au sheria nyingine yoyote ya jinai?? Unajifanya una akili timamu kwa mapovu ya OMO tu wakati kichwani ni zerooo!!Serekali inauza makontena kwa mnada .yeye anawatisha wananchi wasinunue watapata laana. Sasa kama unaakili timamu huoni kosa hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali Laana ni kosa la jinai? Acha mapovu!
Unanikumbusha mnyama simba ama chatu wakishiba hata binadamu unaweza kupita wasikudhuru na wanyama wanajikatizia utadhani wana urafiki lakini wakiwa na njaa ni balaa, kwa hiyo maslahi ndio huamua muda wa urafiki na uadui!Ninavyo mjua jiwe hana urafiki wa kudumu lolote laweza kutokea, kama ilivyokuwa kwa mhongo na nchemba mwiguru
Sent using Jamii Forums mobile app