Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 230
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.
Acha watajirike , ni kipindi cha mavuno lakini kwani lazima iwe kwa kuwachafua wengine?
Maskini Mzee lowasa katukanwa sana na huyu kijana na bado anaebdelea kukejeliwa lakini chama kimekaa kimya kama hakijui vile,
Poleni sana wazee wetu Lowasa, Warioba ndiyo Rais wenu huyo anayefurahia utovu wa nidhamu kutoka kwa vijana watoto wenu na kuwapa vyeo kabisa.
Sisi watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana na wapuuzi na sijui ni wangapi wanalijua hili!!Hakuna chama hapo; kilichobaki ni CLUB YA FAMILIA NA MARAFIKI inayoendeshwa kwa jina la CCM
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.
Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.
""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema
Source : Tanzania daima.
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
Sitaki kuamini anayemfunga kamba Riz1 ni Makonda.
Mzee Mwanakijiji hukuyafanya haya yote na ndo maana umekosa u DC
Makonda Hamuwezi Lowasa, Akakakojoe Akalale
Makonda hajui alifanyalo na ccm wanamuona kuwa ni lulu,lakini taasisi yoyote ina sheria na taratibu za kinidhamu huwezi kumshambulia kiongozi wako wa juu,mwanachama wako aliyewahi kuongoza wizara mbalimbali usitegemee mgawanyiko.
Makonda ajue ikiwa Nape,Kinana,Na Mangula ni lulu kwake,ajue wapo wanaccm walioko nyuma ya pazia tena wengi kuliko cc ya ccm na polisi yao.
Makonda mwisho wako kisiasa uko mlango,viatu ulivyopewa tutaanza na wewe kinondoni,poor Makonda unayevamia siasa bila diplomasia ya utawala na uongozi kutobobea
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..