Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

akiendelea tena kumshambulia JK nitajua kuwa kweli amedhamiria na hajafurahishwa na jeshi letu kuingia DRC
 
Cjui nani mchokoz ila nahis tz ndio wachokoz na kama ndivyo tukipigana watatupiga mana MUNGU ATAKUWA UPANDE WAo.
 
likely Kagame will seek apoligise from JK for what he said...
 
Mkuu Radhia Sweety, ni muda gani ataunguruma kutokea upande wa Magharibi mwa Tanzania?
 
Last edited by a moderator:
Picha muhimu au video wadau

"Nchi ngumu hii"
 
Back
Top Bottom