Patrobas ni pengo kubwa CHADEMA

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
20,142
Reaction score
24,432
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.

Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.

Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.

Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.

CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic

Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
 
Hizi ni ramli za watu wenye elim ya kaptula.Hapa umestruggle kweli kama umejenga hoja chonganishi.You a mere idiot girl
 
Huyo ni pengo la mdomoni halina madhara yeyote,aliondoka slaa wabunge aliacha 18 leo wko 45
 
Wewe ndiye unayeonekana kupanic mkuu, tambua Chadema ni taasisi.
 
Pole kwahoja yako dhaifu unatafuta kuungwa mkono na makinikia chadema ni taasisi kitambi kimetafuta pakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…