Patrick Rutabanzibwa: UKWELI ni upi?

Patrick Rutabanzibwa: UKWELI ni upi?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Kwa mujibu wa gazeti la Mawio la Said Kubenea ni kwamba katibu mkuu anaestaafu ndugu Patrick Rutabanzibwa ni mzalendo na mchapakazi hodari na kwamba siofisadi ila alitajwa kwenye orodha ya mafisadi na Dr Slaa kimakosa... na kwamba Dr Slaa alikiri kuwa yalikuwa makosa kumtaja huyu mtu...

Na kingine ni kuwa bila yeye miradi mbalimbali ya serikali kama ule wa Vitambulisho vya Uraia inge kwama lakini yeye kwa kuipenda nchi yake alihakikisha inatekelezwa..

Najiuliza tu: Ukweli wa habari hizi ukoje?
 
Uwiiiiiiiii huyu hata mwezi bado kafisadi pale mivinjeni kurasini kiwanja cha hekari sita kwa kisingizio cha fidia kumbe hiyo kampuni iliopewa hiko kiwanja yeye ana hisa aailimia 70%
 
Uwiiiiiiiii huyu hata mwezi bado kafisadi pale mivinjeni kurasini kiwanja cha hekari sita kwa kisingizio cha fidia kumbe hiyo kampuni iliopewa hiko kiwanja yeye ana hisa aailimia 70%


hii ni lini hii????
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mawio la Said Kubenea ni kwamba katibu mkuu anaestaafu ndugu Patrick Rutabanzibwa ni mzalendo na mchapakazi hodari na kwamba siofisadi ila alitajwa kwenye orodha ya mafisadi na Dr Slaa kimakosa... na kwamba Dr Slaa alikiri kuwa yalikuwa makosa kumtaja huyu mtu...

Na kingine ni kuwa bila yeye miradi mbalimbali ya serikali kama ule wa Vitambulisho vya Uraia inge kwama lakini yeye kwa kuipenda nchi yake alihakikisha inatekelezwa..

Najiuliza tu: Ukweli wa habari hizi ukoje?

Kaka katika maisha yangu yote tokea enzi za mwalimu sijawahi kusikia mtu anaestaafu kwa hiari kama kweli alikuwa mchapakazi hodari, wachapakazi hodari hawastaafu kwa hiari hata wakifika umri wa kustaafu wanaongezewa muda
 
Kaka katika maisha yangu yote tokea enzi za mwalimu sijawahi kusikia mtu anaestaafu kwa hiari kama kweli alikuwa mchapakazi hodari, wachapakazi hodari hawastaafu kwa hiari hata wakifika umri wa kustaafu wanaongezewa muda

Ishu hapa ni hili gazeti la kubenea kusema DR Slaa amekiri huyu jamaa sio fisadi
natamanikusikia chadema wanasemaje na hili
 
lakini,mbona vitambulisho vyenyewe wana jipa vigogo?
 
hakuna shaka yoyote kwamba huyo ni fisadi , ni kweli ametajwa kwenye ile first eleven ya aibu Tangu kuundwa kwa ulimwengu huu , shida zote unazoziona Kurasini huyu ni mratibu mkuu , akishirikiana na Mhando , katika orodha yangu ya nitakaowaburuza mahakamani hapo baadaye kama mwendesha mashtaka wa kujitegemea huyu yuko namba 7 katika orodha ya watu 200 .
 
Uwiiiiiiiii huyu hata mwezi bado kafisadi pale mivinjeni kurasini kiwanja cha hekari sita kwa kisingizio cha fidia kumbe hiyo kampuni iliopewa hiko kiwanja yeye ana hisa aailimia 70%


Mkuu ni Kampuni gani hiyo!
Maana hawezi kuwa mwenyewe lazima nyuma yake kuna wengine !
 
Ishu hapa ni hili gazeti la kubenea kusema DR Slaa amekiri huyu jamaa sio fisadi
natamanikusikia chadema wanasemaje na hili


Hivi Dr Slaa si member humu Jf najua akipata nafasi atatupa jibu!
 
niliwauliza mawio wamesema mawio si gazeti la kubenea ila baadhi ya waandishi wa mwana halisi ​wanaiandikia mawio hasa katika kipindi hiki kigumu
 
Kaka katika maisha yangu yote tokea enzi za mwalimu sijawahi kusikia mtu anaestaafu kwa hiari kama kweli alikuwa mchapakazi hodari, wachapakazi hodari hawastaafu kwa hiari hata wakifika umri wa kustaafu wanaongezewa muda
Mkuu mbona Jenerali Ulimwengu aliomba kustaafa mapema na kwendelea na shughuli zake binafsi, mbona hakuna aliye hoji hilo? Why pick on RUTTA.
 
Mkuu mbona Jenerali Ulimwengu aliomba kustaafa mapema na kwendelea na shughuli zake binafsi, mbona hakuna aliye hoji hilo? Why pick on RUTTA.

Generali Ulimwengu sijui sababu hasa zilizomfanya astaafu mapema lakini najua wajuzi watadadavua hili
 
Mkuu mbona Jenerali Ulimwengu aliomba kustaafa mapema na kwendelea na shughuli zake binafsi, mbona hakuna aliye hoji hilo? Why pick on RUTTA.
Hivi umeelewa alichokisema Bornagain? Au unakimbilia kumtetea mnyarwanda mwenzako?

By bornagain
Kaka katika maisha yangu yote tokea enzi za mwalimu sijawahi kusikia mtu anaestaafu kwa hiari kama kweli alikuwa mchapakazi hodari, wachapakazi hodari hawastaafu kwa hiari hata wakifika umri wa kustaafu wanaongezewa muda
 
Hivi umeelewa alichokisema Bornagain? Au unakimbilia kumtetea mnyarwanda mwenzako?

Ahahahahahah... Bukya. umemsikia TAYADI? Nimekua nawaambia ndugu zangu kuweni na tahadhari kubwa na hizi operesheni za chuki,wakimaliza wenye asili ya Rwanda itakua zamu yetu Wahaya! Dhambi hii haitatuacha salama.
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mawio la Said Kubenea ni kwamba katibu mkuu anaestaafu ndugu Patrick Rutabanzibwa ni mzalendo na mchapakazi hodari na kwamba siofisadi ila alitajwa kwenye orodha ya mafisadi na Dr Slaa kimakosa... na kwamba Dr Slaa alikiri kuwa yalikuwa makosa kumtaja huyu mtu...

Na kingine ni kuwa bila yeye miradi mbalimbali ya serikali kama ule wa Vitambulisho vya Uraia inge kwama lakini yeye kwa kuipenda nchi yake alihakikisha inatekelezwa..

Najiuliza tu: Ukweli wa habari hizi ukoje?

Hilo ni Mawio la Alhamisi iliyopita au Mawio la Kesho?
 
Mkuu mbona Jenerali Ulimwengu aliomba kustaafa mapema na kwendelea na shughuli zake binafsi, mbona hakuna aliye hoji hilo? Why pick on RUTTA.

Jenerali Ulimwengu alistaafu cheo kipi??????? Ubunge au????????????
 
Back
Top Bottom