Uamuzi murua kuwa sasa hivi anaonekanaje katika jamii. Je yuko wapi?Ni kweli gharama zangu utarudisha ..je muda wangu uliopoteza?? Je kwenye jamii nitaonekanaje kwa aibu uliyonishababishia?? Je hayo maumivu ya usaliti wako pia nitaya vumiliaje ??..mwisho wa siku wewe ndio uonekane mshindi kirahisi tu!! Jamaa amefanya uamuzi murua sana
ni sawa
hiyo ndio zawad yake mwanamke mshenzi
badala angepambaana na ajira akamnyanyua huyo.mwanaume
Kakosea sana ilitakiwa achukue bomu amumezeshe alafu hizo risasi 47 ndio zinafuata wao kote vipande vipande angemchukua mama mkwe akamchakaza
kwa mm ili kuepusha dhambi kubwa ya mauaji basi ngoja nipate dhambi ndogo ya kutomsaidia kabisa,
USINIAMBIE DHAMBI ZOTE NI SAWA, hizi dhambi kuna za jumla na reja rejaa blv me,
Huyo jamaa alikosea sana kuwaacha mama mkwe wake na dada yake marehemu hai.ilitakiwa warambwe risasi na wao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naunga hoja zote hapo juuShe deserves it.
Eti katafute hadhi yako ambaye ni mgambo kama wewe....akati ye mwenyewe akiwa kijijini hakuwa na hadhi hata ya kuolewa na mgambo.
Tujifunze kuweka kumbukumbu ya tulipotoka na tuwe na shukrani kwa mema tunayotendewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulingana na alichokifanya sasa hivi yuko jela ila kuna mauaji ya kukusudia na yasiyo ya kukudia ..kama Mimi ningekuwa hakimu nisinge muhukumu kwa sababu hakukusudia kuua kabisa na pia hakuwa katika hali yake ya kawaida ..Uamuzi murua kuwa sasa hivi anaonekanaje katika jamii. Je yuko wapi?
Unadhani kuna haja ya kurudisha ?Ankoo dah..
Narudisha hela yako ya tuisheni
kwa mm ili kuepusha dhambi kubwa ya mauaji basi ngoja nipate dhambi ndogo ya kutomsaidia kabisa,
USINIAMBIE DHAMBI ZOTE NI SAWA, hizi dhambi kuna za jumla na reja rejaa blv me,
She deserves it.
Eti katafute hadhi yako ambaye ni mgambo kama wewe....akati ye mwenyewe akiwa kijijini hakuwa na hadhi hata ya kuolewa na mgambo.
Tujifunze kuweka kumbukumbu ya tulipotoka na tuwe na shukrani kwa mema tunayotendewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Mimi nisingepepesa hata macho ningemuachia huru na hela zake ningemrudishia.Swali kuu je ukiwa hakimu ktk kesi hii....maamuzi yako yanaweza ku athiriwa na jinsia yako?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
kweli kbsaa, kifo hakimfanyi ajutieee, mm mtu km huyoo kama anaumwa mahututi anataka akate roho nipo lazi nimlipiee pesa awekewe mashine ya kupumulia na kumletea chakula asife haraka na pale kitandani nahakikisha hapakosi, siafu, kunguni, pakacha, viroboto na vingne ving vya kukeraaaSasa Kama hakumpenda.
Ila mi naonaga kifo sio adhabu nzuri kwa mtu...akishakufa umemwadhibu Nini?? Hapati maumivu...yeye haoni...labda waliobaki ndio watakosa kitu.
Adhabu mpe mtu aone...afeel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiumizwa na maisha unapambana na maisha. Ukiumizwa na Mwanamke kama huyo ni kupambana nae kwa namna yoyote.Mnaumizwa na mangapi na maisha lazima yaendelee?
Hesabu hiyo ni sadaka, shukuru then songa mbele.
BTW msikate tamaa jamani, mtusomeshe tu.
Unaambiwa "ishi na mwanamke kwa akili".Mwanamke ukimuendeleza ukitegemea atakuja kukusaidia....Sahau hiyo
Ktk mia lbda yupo mmoja wengine wote hamna kitu!
Kuna kisa hiki cha kweli jamaa alimfaitia dem wake akasome uingereza jamaa alienda mbio kweli
Dem Kufika huko akazoea maisha ya huko mwishowe akaja kumwambia jamaa hku bongo aendelee tu na maisha yake yeye Hana tena na mpango nayo.....jamaa alibakia hoi bin taaban
Hawa viumbe hawana huruma kabisa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app