Hao hawana mawazo tofauti. Bali wanania ya kuukwamisha uongozi mpya. Wao wanataka cdm iingie kwenye uchaguzi bila reforms wanaakili kweli? Ati cdm imeua ndoto za vijana waliotaka kugombea...
Hivi huyo kilewo si ndo alipigwa chini na mke wake Kisha kushindwa kumu mahitaji ya familia basi akipata mgao wake aende akambembeleze mke wake warudiane