Patrick Assenga arejea CHADEMA akitokea CHAUMMA

Welcome sir
 
Sasa tunasubiri kumpokea mw.kiti wa alipo kuwa pamoja na mw.kiti bosi wao kwani naye anaelekea kutambua haki ni msingi wa amani
 
Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti

Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi watakatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
 
nani mwenye ubavu wa kumkataa pale chadema kwa mfano kamanda?

na kulivyo na ombwe la uongozi na ukosefu wa agenda,
kuna mtu anaweza kukataliwa kujiunga chadema kweli?

ikitokea,
basi itakua ni unafiki wa kiwango cha juu mno.
Gentleman tuliza mihemko🐒
 
Ok, sasa nini kilimkengeua! Msiwaweke kwenye vyeo, wawe wanachama kama mimi!
Chadema wanashindwa nini kusajili wanachama wapya kwenye mikutano yao inayojaza wafuasi wengi,

Hili wimbi la kurudi kwa wasaliti wengi Lina agenda mbaya nyuma yake,
Mtu kama Selasini aliefanya mapinduzi Nccr leo unampokea aje kufanulya nini?

Kwa upuuzi huu utasikia hata Yeriko amerudi pamoja na matusi yote anayotukana,
Vyama vya upinzani viko vingi, wangeenda hata TLP,
 
Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi watakatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
Hawa ng'ombe wana brucela ni wakupiga shoka nakuchimbia tu.
 
Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti

Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Kwa sifa zipi ulizonazo,unadhani unafaa kuwa ni miongoni mwa wasaili watu wanaorejea chadema?
 
Mission imefeli so ni kuangalia namna ya kurud CDM, hawa kuku wawe wanachama wa kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…