Unasema patrice lumumba aliuawa kwa kuwekewa sumu kwenye mswaki? Aisee... Nadhan mimi nlikuwa na uelewa wa tofauti.maana mimi nafaham alikuwa excuted...aliuawa kwa kupigwa risasi.
Patrice Lumumba leo hayupo duniani lakini kaacha Legacy inayodumu milele. japo hakuna kaburi wala mfupa wako hapa duniani lakini RIP Papaa Patrice Lumumba