Patrice Lumumba

Unasema patrice lumumba aliuawa kwa kuwekewa sumu kwenye mswaki? Aisee... Nadhan mimi nlikuwa na uelewa wa tofauti.maana mimi nafaham alikuwa excuted...aliuawa kwa kupigwa risasi.

 
Unasema patrice lumumba aliuawa kwa kuwekewa sumu kwenye mswaki? Aisee... Nadhan mimi nlikuwa na uelewa wa tofauti.maana mimi nafaham alikuwa excuted...aliuawa kwa kupigwa risasi.
Ndio mkuu nakubaliana na wewe, Patrice alipigwa risasi na kukatwa katwa kisha kuteketeza mabaki yake yote na acid.
Ile issue ya mswaki lilikuwa jaribio tu.
 
sahihi " kabisa'' Mimi nimekaa na WA Congo kiasi"" aiseee ni watu wenye fitina kubwa mnooo", na wanapenda kuongea sana tena kwa sauti ya juu" achilia mbali misifa
Haahaaa...motombo nzambe na ngai, toleka toleka


Wacongo wanaropoka asee...afuu wanapenda ushirikina, umbea, wakuda hakuna mfano
 
Haahaaa...motombo nzambe na ngai, toleka toleka


Wacongo wanaropoka asee...afuu wanapenda ushirikina, umbea, wakuda hakuna mfano
hivyo hivyo" mkuu" huwaga" hawajui kuongea taratibu" wakiongea" utasema vile wanagombana"" ustaarabu zero kabisaaaa"" hapo kwenye ukuda ndio usiseme" ...nimewahi kukaa nao kwenye MA band" nawajua" vyema mnooo"", so watu wenye sifa kama hizo" hawawezi kuwa na Utu " abadani"
 
Sure mkuu....wacongo wana roho ngumu ajabu! Si huwa wanakula dog, baboon, watu, unafikiri masihara hayo
 
Sure mkuu....wacongo wana roho ngumu ajabu! Si huwa wanakula dog, baboon, watu, unafikiri masihara hayo
na ndio maana licha ya kufanyiwa hila na mataifa makubwa" ili yaendelee kuwa tumia na kuvuna rasilimali zao" ...Hata hivyo wao wenye pia nikiini cha kufanyiwa hujuma' kwa sabbu" hawana upendo wa dhati baina ya wao kwa wao".... watu wa kufitiniana kila wakati".... hebu ona anayofanyiwa katumbi na kabila" halafu tazama " pesa wanayotoza" kwa kila mgombea anayekwenda" kuchukua form yakugombea uraisi"... USD100k"
 
Ni historia nzuri ila msimuliaji haujaitendea haki, mtiririko haujakaa vizuri asee.
 
Afuu wanapenda mambo makubwa
sahihi " kabisa'' Mimi nimekaa na WA Congo kiasi"" aiseee ni watu wenye fitina kubwa mnooo", na wanapenda kuongea sana tena kwa sauti ya juu" achilia mbali misifa
Haahaaa...motombo nzambe na ngai, toleka toleka


Wacongo wanaropoka asee...afuu wanapenda ushirikina, umbea, wakuda hakuna mfano
Sure mkuu....wacongo wana roho ngumu ajabu! Si huwa wanakula dog, baboon, watu, unafikiri masihara hayo
hahaaa " kweli" kwa ulaji wa hivyo vyakula hauwezi kuwa sawa
Niko Congo kwa muda wa mwaka na miezi kadhaa sasa ,ni kweli msemayo
 
Niliona hii clip PL alipokamatwa huku analishwa speech yake while Mobutu chuckled!

Asee ile clip I wet in tears!

Nilivyoanza kufatilia hizo historia zao hasa Lumumba I wish angekuwepo kizazi changu daah!

Zamani kulikuwa na majembe hasa!
Hata siku hizi kuna akina Lipumba (majembe).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…