Patience mpaka lini..!??

Aaaah Preta...wewe ungepropoziwa in such a manner ungejisikiaje?esp. if it is for the first tme..i mean, she has just known me as a good friend! leo hii anapata e-mail ati ninakupenda sana...itakaa kama spam! (btw, it wont be long till I see her again-April.) Isn't it better nikasubiri tu!??
Picture this: We meet in town for lunch/dinner...we catch up a bit then in the middle of the discussion nidondoshe bomb!unaonaje??!
Wewe kijana acha u*&^&.
kamata simu na umpigie now!!!
Unaweza kukuta jamaa anampango wa kuvisha pete kesho.
Hiyo April itakuwa chungu, hutakaa usahau maishani.
 
Aaaah Preta...wewe ungepropoziwa in such a manner ungejisikiaje?esp. if it is for the first tme..i mean, she has just known me as a good friend! leo hii anapata e-mail ati ninakupenda sana...itakaa kama spam! (btw, it wont be long till I see her again-April.) Isn't it better nikasubiri tu!??
Picture this: We meet in town for lunch/dinner...we catch up a bit then in the middle of the discussion nidondoshe bomb!unaonaje??!


Compaq nadhani ni wewe mwenyewe unafanya maisha yako ya mapenzi kuwa magumu ...
Chelewa utakuta mwana si wako ..bora sasa ni BF and GF lakini siku unayohitaji kukutana nae ana kwa ana itakuwa ni siku ya harusi yake :)
 
Mitano kabisa??!
Anyway, as soon as we meet i hav planned to tell her! kama ni uvumilivu nimekuwa nao wa kutosha!
But kwa sasa, mtazamo ni upi; what should someone be doing when they are waiting for the perfect time? I am just trying to see where I went wrong mpaka akachukuliwa na mwingine!??

tutakunyang'anya kadi!!!
 
Mitano kabisa??!
Anyway, as soon as we meet i hav planned to tell her! kama ni uvumilivu nimekuwa nao wa kutosha!
But kwa sasa, mtazamo ni upi; what should someone be doing when they are waiting for the perfect time? I am just trying to see where I went wrong mpaka akachukuliwa na mwingine!??

Kuna wanaume wana midomo mizito ila wa kwako umezidi! Si umesema mwenyewe kwamba huyo jamaa aliye nae walifahamiana ndani ya wiki mbili tayari wakawa kwenye mapenzi!
 
Wewe kijana acha u*&^&.
kamata simu na umpigie now!!!
Unaweza kukuta jamaa anampango wa kuvisha pete kesho.
Hiyo April itakuwa chungu, hutakaa usahau maishani.

Compaq anamwogopa huyo mwanamke, full stop! Hakuna kingine! Ndio maana visingizio vya oooh nitaonana naye tena mwezi April. Si ajabu hata hiyo April wataonana na bado atashindwa kumtamkia! Tungependa kupata mlishonyuma (feedback) katika hili!
 
Preta, naweza sema ninamfahamu na mimi niko tayari kumuambia anytime we meet. (Kwa sasa tuko mbali kiasi...bado ndo anamalizia chuo).
Shida ni anaboyfriend kwa sasa...
Ama kweli "mvumilivu hula mbivu ila akivumilia sana hula mbovu!"

NB: For the sake of people who are in my situation now; Ni nini mtu ufanye in that period of being patient! Wakati unachukua muda kumfahamu...ili usikurupuke kuingia into a relationship u were not ready for au ili usimpoteze/asichukuliwe na vicheche!!!
Unanang'ang'ania ana boy friend. Samahani kukuuliza hivi, na wewe huko muda wote huu huna ka girl friend?
 
Compaq anamwogopa huyo mwanamke, full stop! Hakuna kingine! Ndio maana visingizio vya oooh nitaonana naye tena mwezi April. Si ajabu hata hiyo April wataonana na bado atashindwa kumtamkia! Tungependa kupata mlishonyuma (feedback) katika hili!

Mkuu, lakini hawa mademu wa kuzoeana kwenye madesa huwa ni wajanja sana. akisha nyanyuka kwenye hayo ma-materiology au ma-climatology yaliyokuwa yanamsumbua, ujue atakusahau hutaamini.

sasa huyu kijana anashindwa kufahamu hili.
 
compaq ana forbia ya kukataliwa ndo maana ana sua sua kumwambia!

hivi mtu ukae na mpenzi kivuli kwa miaka 3 kisha aje akupige chini si itakuwa hatari? ndo maana compaq hawezi kumwambia.....ana hiari akae hivyo hivyo asimwambie mwanamke aolewe apate kusema jamaa alinizidi kete..
 
Mkuu, lakini hawa mademu wa kuzoeana kwenye madesa huwa ni wajanja sana. akisha nyanyuka kwenye hayo ma-materiology au ma-climatology yaliyokuwa yanamsumbua, ujue atakusahau hutaamini.

sasa huyu kijana anashindwa kufahamu hili.
jana mzee dah:D:D:D
 
Aaaah Preta...wewe ungepropoziwa in such a manner ungejisikiaje?esp. if it is for the first tme..i mean, she has just known me as a good friend! leo hii anapata e-mail ati ninakupenda sana...itakaa kama spam! (btw, it wont be long till I see her again-April.) Isn't it better nikasubiri tu!??
Picture this: We meet in town for lunch/dinner...we catch up a bit then in the middle of the discussion nidondoshe bomb!unaonaje??!

mmh haya bana we subiri ila angalia hicho kipindi anachokuja isije ikawa ndio anakuja kumuintroduce huyo jamaa kwao kama mchumba....ohoooo...utanashati ukizidi ni hasara sometimes
 
Ngoja niwajibu wote:
Uko mwaka wa mwisho chuo, ni kiongozi wa chuo na ni mentor-tena chairman of the mentors. Wanakuja wanafunzi wapya na mmoja kati yao mnatokea kupatana. Mnaongea in the normal relationship of a mentor and a mentee. (Na hapa inafaa mfahamu kuwa as a mentor kuna vitu unafaa kuobserve kama: not to be involved in a relationship with your mentee!!!) Na mimi kama kiongozi sikulisahau hili.
Basi tukaendlea hivyo na baada ya muda nikatokea kumpenda. Wakati huo huo nakaribia kumaliza chuo, akapata boyfriend. Akaja kwangu-as a mentor and friend nimpe ushauri. Nikamwambia do as your heart tells you but take care you dont end up with someone you dont love.
Wakaendelea..na mimi nikamalizia masomo yangu. Nikaenda kusoma zaidi sasa nimeanza kazi na ninafikiria to get steady into a relatioship that will lead to a marriage relationship!
Udomo zege angu uko wapi?
And no, sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mwingine btn then and now..as i said; "I believe in knowing someone before i commit myself to truly loving them" Wote niliokutana nao hawajafikia expectations zangu. aliyefikia, ndo huyu ambaye sasa ana bf..!!???
I hope I have made myself clear!
*Oh and btw, tunaonge sana and I know they are not even thinking abt marriage ndo maana naonelea kusibiri till April..
 
Ngoja niwajibu wote:
Uko mwaka wa mwisho chuo, ni kiongozi wa chuo na ni mentor-tena chairman of the mentors. Wanakuja wanafunzi wapya na mmoja kati yao mnatokea kupatana. Mnaongea in the normal relationship of a mentor and a mentee. (Na hapa inafaa mfahamu kuwa as a mentor kuna vitu unafaa kuobserve kama: not to be involved in a relationship with your mentee!!!) Na mimi kama kiongozi sikulisahau hili.
Basi tukaendlea hivyo na baada ya muda nikatokea kumpenda. Wakati huo huo nakaribia kumaliza chuo, akapata boyfriend. Akaja kwangu-as a mentor and friend nimpe ushauri. Nikamwambia do as your heart tells you but take care you dont end up with someone you dont love.
Wakaendelea..na mimi nikamalizia masomo yangu. Nikaenda kusoma zaidi sasa nimeanza kazi na ninafikiria to get steady into a relatioship that will lead to a marriage relationship!
Udomo zege angu uko wapi?
And no, sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mwingine btn then and now..as i said; "I believe in knowing someone before i commit myself to truly loving them" Wote niliokutana nao hawajafikia expectations zangu. aliyefikia, ndo huyu ambaye sasa ana bf..!!???
I hope I have made myself clear!
*Oh and btw, tunaonge sana and I know they are not even thinking abt marriage ndo maana naonelea kusibiri till April..
You are such a selfish person, yani wewe ni mentor, anakuja kukwambia nimepata kidume, unamwambia go ahead, kwa sababu wewe hauko tayari kumwambia kwa sababu zako, then unaendelea na masomo yako.....humwambii coz unataka kusoma na kupata kazi nzuri........yeye akae tuu akingoja, halafu ukishaweka mambo yako safi ndo umfuate??!!! selfish selfish.

ni mazamo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom