Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Ile mashine ya nyololo inamfaa sana Fidel, nahisi atarudi kimya kimya pale chimbo.nilikuwa naelekea KUZIMA PALE
MVINYO MAMA!
Ile mashine ya nyololo inamfaa sana Fidel, nahisi atarudi kimya kimya pale chimbo.nilikuwa naelekea KUZIMA PALE
MVINYO MAMA!
HALAFU NDO ZAKE fidel!tutajua tu........Ile mashine ya nyololo inamfaa sana Fidel, nahisi atarudi kimya kimya pale chimbo.
Naheshimu mtazamo wako ila naomba kupinga kiasi!You are such a selfish person, yani wewe ni mentor, anakuja kukwambia nimepata kidume, unamwambia go ahead, kwa sababu wewe hauko tayari kumwambia kwa sababu zako, then unaendelea na masomo yako.....humwambii coz unataka kusoma na kupata kazi nzuri........yeye akae tuu akingoja, halafu ukishaweka mambo yako safi ndo umfuate??!!! selfish selfish.
ni mazamo tu.
Elimumali, do you think that is the best way ya kufuata when you are checking someone?Je, haitakupa furaha kuona pamoja na kuwa hujamtamkia kuwa wampenda bado anaweza kukataa proposal ya mtu mwingine ambaye hata hawakuwa wakifahamiana vizuri!??Pole na hongera kwa uangalifu wako katika maisha kijana. Ninavyoelewa mimi ni kwamba wewe unlimpenda huyu dada, ispokuwa hukumtamkia kwa sababu ulijipa muda wa kumchunguza umjue zaidi kama atafaa kuwa mchumba na pia ulikuwa katika masomo hukupenda kuwa involved.
Kwa kuwa alikuwa karibu sana na wewe (rafiki), ungechukua hiyo priviledge ya kumuomba awe mwangalifu sana katika mahusiano, asifike mbali na mahusiano kabla ya kuwasiliana na wewe kwa ushauri ili asije kuwa engaged kabla wewe hujafikia uamuzi. Though huu ni ubinafsi, lakini hii ingekupa muda kuendelea kumchunguza bila kuwa na hofu kuwa atachukuliwa na mwingine bila wewe kujua.
Kwa kuwa hukufanya hivyo na sasa ana bf. Nakushauri fanya kama ulivyoamua, vumilia hadi atakapokuja umtamkie with confidence, na umwage sera zako zote pamoja na jinsi ulivyompenda tangu mko shule I belive u know how to do it! Good Luck.
If only she was a priority to you, you wouldnt tell her go ahead, get screwed, no problem. You wouldnt let her go.Naheshimu mtazamo wako ila naomba kupinga kiasi!
Hata wewe fikiria when you are in school your first priority ni masomo and that is what I as a mentor am supposed to tell her. singeweza kuanza kumwambia kuhusu mapenzi. Then age difference ilikuwa shida...kipindi hixho nlikuwa namchukulia kama mdogo wangu yani...mpaka kuja kurealize it was love ni semester ya mwisho..
where is my selfishness??!
Alafu, kwani wewe ungetaka kupropoziwa na mwanaume ambaye amelost!??
Are we not allowed to have prioroties in life?or do you call my prioroties selfisheness!??
Ndiyo MKIJIJI msaidie huyo kwa sababu ni ZOBA. Au anatafuta mapenzi ya kwenye novel. Hizo ni tamthlia.Grab the opportunity when it presents itself.give me her number.. I'll help you out..
Put yourself in my shoes...ungeenda kumuambia!??
Priorities differ with time: at taht time to both of us the priority was to do that we ought to do-studying so that we could get to do what we want to do! ain't that ryt Bigirita.If only she was a priority to you, you wouldnt tell her go ahead, get screwed, no problem. You wouldnt let her go.
It is point clear that she was not on your priority list.......women are very intelligent, ukimfuata na kumwambia ooh mimi nilikuwa nakupenda sana. Atasoma between the lines na kugundua kuwa ulikuwa una-mipango yako, na uliona kuwa nae kwa wakati ule atakuwa mzigo kwako.
Wrong broda!!! you said you were her mentor?? what does a mentor do? tell the mentee, its fine go ahead get screwed?Priorities differ with time: at taht time to both of us the priority was to do that we ought to do-studying so that we could get to do what we want to do! ain't that ryt Bigirita.
I believe when she reads between the lines she will understand...
Sawa bubu..shukuru haijakutokea! Siku hizo tukisoma huko nairobi kila mtu anakuambia I love you..hata haikuwa na maana. Na hiyo yake at that time was more of thanks koz nilikuwa namsaidia sana..Mimi hata hiyo nafasi ya kuchangamkia njemba mwingine nisingempa labda kama ningekuwa simpendi kihivyo kwamba anafaa kuwa mke wangu. Vinginevyo mwanamke anapokutamkia "I love you" lazima uchakarike na kama huna hisia kama hizo kwake basi ni lazima umfahamishe.
Mlikuwa mnasoma nersary school nini?Sawa bubu..shukuru haijakutokea! Siku hizo tukisoma huko nairobi kila mtu anakuambia I love you..hata haikuwa na maana. Na hiyo yake at that time was more of thanks koz nilikuwa namsaidia sana..
Naheshimu mtazamo wako ila naomba kupinga kiasi!
Hata wewe fikiria when you are in school your first priority ni masomo and that is what I as a mentor am supposed to tell her. singeweza kuanza kumwambia kuhusu mapenzi. Then age difference ilikuwa shida...kipindi hixho nlikuwa namchukulia kama mdogo wangu yani...mpaka kuja kurealize it was love ni semester ya mwisho..
where is my selfishness??!
Alafu, kwani wewe ungetaka kupropoziwa na mwanaume ambaye amelost!??
Are we not allowed to have prioroties in life?or do you call my prioroties selfisheness!??
Wadau salaam,
Naandika hii with a clear knowledge of the ancestors' saying that:"Patience pays."
But I sat back and thought...how long should you wait?
I just lost her...and may be I may not have her again...but seriously doesnt patience have its limits??!
It happened three years ago in college,
We met-I as a senior student and her a new student-and became great friends. I used to help her in studies, life and we just hanged around together. As a result I fell in love with her...She never realized it, because anyway i neva told her!
I believed in patience, and so I kept my piece acting like the normal good friend she has always known.
Just before I completed school she got a boyfriend. Some guy she just knew for two weeks and voila..they were in a relationship. She came to me as a friend asking for ideas. That she just liked him but she is trying to see if it might work. I told her to do what she felt was right. In my heart I was hurting a lot..
I still believed in patience. I thought she will come to realize how much I love her. She always used to tell me "I love you"..and I never understood that kind of love she was talking about.
Anyway, it is three years now..I am ready to let her know what I feel about her and I still remember the words of our ancestors; "Love is Patience".
For how long then? Until when I hear they are getting married?
I am a bit confused...Does patience have limits?
What should someone be doing to the person they love during the waiting time..so that they don't end up loosing them?