BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,516
- 5,731
Wadau, huyu mwimbaji wa FM Academia na sometimes mcheza bongo movie,hua namkubali sana mimi binafsi.
Aliwahi kuhojiwa ,akasema Kanumba aliniambia niingie kwenye bongo movie,kwa kuwa mimi ndio napiga pamba kali kuliko wote.
Binafsi mimi nakubaliana na hilo kwa kupiga pamba kali huyu jamaa.
BIG UP SANA
pATCHO MWAMBA
Mutu ya Congo.
Aliwahi kuhojiwa ,akasema Kanumba aliniambia niingie kwenye bongo movie,kwa kuwa mimi ndio napiga pamba kali kuliko wote.
Binafsi mimi nakubaliana na hilo kwa kupiga pamba kali huyu jamaa.
BIG UP SANA
pATCHO MWAMBA
Mutu ya Congo.