So zinatoka nje naona kuna fursa ya kuanzisha kiwanda cha sole. Ni za ngozi au rabaSole tunanunua mkuu
Majority ya sole zinatoka nje. Japokuwa hapa nchini Kuna kiwanda kimoja kinachozalisha soli, na hakitoshelezi kabisa mahitaji.So zinatoka nje naona kuna fursa ya kuanzisha kiwanda cha sole. Ni za ngozi au raba
Thanks mkuu. Na nikitaka kuanza uzalishaji unafikiri ni aina gani ina soko hapa TZUkisoma kwa undani kuhusu soli, utagundua kuwa, Kuna aina nyingi saana za soli, japokuwa watu wengi wanaelewa soli za rubber na Ngozi. Zifuatazo Ni aina za soli zilizopo kwenye sekta ya viatu.
1. PU
2. TPU
3. CPU
4. TPR
5. TPF
6. RUBBER
7. EVA
8. PVC
9. NGOZI
Mkuu bei zetu Ni rafiki saana. Unaweza uone Bei iko juu kwa sababu unalinganisha bidhaa zetu na vitu vingine ambavyo havifanani.Ila Mkuu bei zenu, Dah
Kimsingi aina zoote za soli zinahitajika. Maana kila kundi la viatu , linahitaji soli za aina flani.Thanks mkuu. Na nikitaka kuanza uzalishaji unafikiri ni aina gani ina soko hapa TZ
Thanks mkuu. Nimejaribu kusearch pia. Japo machine zake ni expensive yet unaweza kutengeneza almost aina zote kwa mtambo mmoja.Kimsingi aina zoote za soli zinahitajika. Maana kila kundi la viatu , linahitaji soli za aina flani.
Kwa mfano
Sneakers - Rubber
Athletic- Eva
Safety booty- PU & TPU
Staff shoes- PVC,PU,TPF n.k
Casual- TPF, CPU,TPR n.k
Kwa maelezo ya kina zaidi yanayoendana na soko halisi la Tanzania unaweza kunicheki 0755678173 au 0713678173