Pata viatu na bidhaa za ngozi

Pata viatu na bidhaa za ngozi

Nimekufata pm Au unaweza nicheki pia kwa 0713678173
 
Hko bei gani
986384506213834590.jpg
 
Upcoming design on the way. Tunatarajia kuanza kuzalisha design hii. Ni mpya kabisa. Weka order yako uwe wa kwanza kuipata
IMG-20200907-WA0013.jpeg
IMG-20200907-WA0011.jpeg
 
Viatu vya ngozi kwa 45,000/= tu. Tupigie kwa 0755678173. (Free delivery in Dar)
IMG-20200930-WA0016.jpeg
IMG-20200930-WA0014.jpeg
IMG-20200930-WA0012.jpeg
 
Oxford/brogues shoes kwa 100,000/= , kina sole ya ngozi
IMG-20200930-WA0000.jpeg
IMG-20200930-WA0002.jpeg
IMG-20200930-WA0004.jpeg
 
Usihangaike kupata viatu vya shule vya kike na kiume Kwa bei nafuu kabisa.
Size 19-37=30,000/=
Size 38-45=35,000/=
Namba zetu 0713678173
IMG_20201228_082421_209.jpg
IMG_20181120_090644_1.jpg
 
Vinachakaa mapema
Siyo sahihi mkuu. Nina uzoefu wa miaka mitano katika fani hii. Viatu vyetu vya wanafunzi vinatumika kwa muda kati ya mwaka 1-2. Kumbuka wanafunzi wanatumia viatu kila siku. Na mara nyingi viatu huwa vinawabana kutokana na miguu kukua. Kwa uzoefu wetu kuhusu watoto, miguu yao hupanda size ndani ya miezi 8-12.
Kwa mfano, mwanangu , sasa anaingia darasa la nne, toka ameanza la kwanza ametumia jozi tatu tu. Kila baada ya mwaka viatu lazima vimbane, ila haviishi na huwa tunawapatia/saidia watu flani kuvitumia.

Kwa kawaida ngozi inadumu zaidi kuliko soli aina yoyote ,wakati huo soli tunazotumia kwenye viatu vya shule Ni za PVC, hivyo uwezo wake wa kutumika Ni miaka 1-2
 
Kumbuka matumizi ya kiatu cha mwanafunzi kwa muda wa mwaka mzima, yanaweza kuwa makubwa kuliko matumizi ya kiatu ya mtu mzima kwa muda wa miaka mi5.

Kuna watoto wanatumia kiatu hichohicho kwa siku 300+ ndani ya mwaka, wakati huo watu wazima unakuta wana jozi 3-5, inayopelekea kubadirishabadirisha. Ukitathmini utakuta kuna viatu vingine vinavaliwa mara 50 kwa mwaka, vingine mara 80 kwa mwaka. Ndio maana uchakavu wa viatu vya watu wazima ni mdogo ukilinganisha na viatu vya wanafunzi
 
Pata viatu vya ngozi halisi toka kwetu. Chukua viatu hivyo kwa 70,000 ama wasiliana nasi kwa 0755678173 au 0713678173
IMAG0074.jpg
IMAG0072.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uvaaji ni swala pana saana na ni mtambuka. Kwa hiyo kila mahali , wakati kuna mivao yake kuanzia mavazi hadi viatu. Na sisi tunatengeneza viatu aina zote. Huwa tunawauzia wateja, na matumizi yake hupanga wao. Kwa hiyo, hata wewe kama unahitaji aina yoyote ya kiatu, tuwasiliane tafadhari. Tutahakikisha unapata kile unachohitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom