Pata picha ingekuwa ni hapa hapa Bongo!!

Pata picha ingekuwa ni hapa hapa Bongo!!

Wale tu walioimba "tuna imani na Lowasa kule Dom" anasema angekuwa yeye nusu yao angewapoteza. Sasa itakuwa hiyo mitusi!!
Mbona Majaliwa ni mmoja kati ya walioimba nyimbo hiyo kuwa wanaimani na Lowasa ila ndiyo Kwanzaa kampa uwaziri mkuu.
Huyu mtu ni kinyonga,

sii bure hakupendezwa na jeshi la ECOWAS lililoinga Gambia kumtoa dikteta uchwara.
 
kinachowasumbua viongozi wa africa ni ushamba. mara nyingi tumekuwa tukichagua watu watuongoze ambao hawana hata uwezo kuongea kiingereza au lugha ya kimataifa na wao wanasema wamesoma. ulaya wanakuogopa, ushamba tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji56] ogopa akili ya boga!
 
Ingekuwa bongo hasa home mpaka mende wa familia waliootoka wabeba mabange wangekufa.
 
Kifungo cha maisha kama babu seya umtukane jemedari
 
NASEMA KWELI AFRICA IMELAANIWA HAKI YA TENA. UMASIKINI SISI KUNYANYASANA SISI.

NO FREEDOM AT ALL. Msinielewe vibaya naongelewa kuhusu South Africa.
 
NASEMA KWELI AFRICA IMELAANIWA HAKI YA TENA. UMASIKINI SISI KUNYANYASANA SISI.

NO FREEDOM AT ALL. Msinielewe vibaya naongelewa kuhusu South Africa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kinachowasumbua viongozi wa africa ni ushamba. mara nyingi tumekuwa tukichagua watu watuongoze ambao hawana hata uwezo kuongea kiingereza au lugha ya kimataifa na wao wanasema wamesoma. ulaya wanakuogopa, ushamba tu.
Tehe tehe tehe! Tupo kwa RAS SIMBA tunajifunza kiingereza. Tukikijua tutaanza kusafiri nje ya nchi!
 
Viongozi wetu yawapasa kujifunza kudhibiti hisia zao,sio kila shutuma ni ya kuijibu,sio kila kitu ni chakutolea ufafanuzi vyengine unapiga kimya mwanaharamu anapita,mbona ishu ya jesika haijawahi tolewa ufafanuzi.
 
Mkuu hao founder of democracy America ndo wanajua democarcia ni nini na inafanywa vipi (Freedom of expression}

Lakini sie ambao tumeiga kutoka kwao hatujui tunafanya kitu kuhusu democracy, nao tunawashangaza pia hii nchi ni ya vyama vingi au kimojaa, Marekani imetoka democratic imeingia Republican
 
cb1e1d616ab6e085dbd47119c666f1ce.jpg



Poa sana, wangeruhusu Bongo hii wakati wa JK mbona watu tungefurahi mno.
 
Huyo angezamishwa kwenye pipa la sulphuric acid 98% na kugeuzwa uji.
 
Back
Top Bottom