Pata Kitabu kizuri Cha somo la Chemistry

Pata Kitabu kizuri Cha somo la Chemistry

Ziggler

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
378
Reaction score
127
Pata kitabu kizuri cha Chemistry. kiitwacho New Certificate Chemistry cha Holderness n. Lambert......kitabu hiki kinafaa kwa wanafunzi wote wa A level na O level wanaosoma Chemistry bei yake ni tsh.15,000/= kwa anaekitaka awasiliane nami kupitia 0689341445
 
Mkuu hicho ni cha O'level, cha A'level hakina uhusiano mwepesi hivyo! Siyo arts hiyo
 
Pata kitabu kizuri cha Chemistry. kiitwacho New Certificate Chemistry cha Holderness n. Lambert......kitabu hiki kinafaa kwa wanafunzi wote wa A level na O level wanaosoma Chemistry bei yake ni tsh.15,000/= kwa anaekitaka awasiliane nami kupitia 0689341445

Na pesa wanakutumia kwa tiGO pesa kwanza kabla ya kutuma kitabu. Baadaye kitabu hakitumwi na namba inakuwa haipatikani!!!!!!!
 
Na pesa wanakutumia kwa tiGO pesa kwanza kabla ya kutuma kitabu. Baadaye kitabu hakitumwi na namba inakuwa haipatikani!!!!!!!

Sijakwambia utume pesa yoyote kama unakitaka kitabu unakutana na mimi mwenyewe muhusika unakiona then tunafanya biashara mi sina mda wa wizi wala ubabaishaji
 
Mkuu hicho ni cha O'level, cha A'level hakina uhusiano mwepesi hivyo! Siyo arts hiyo

Kitabu hiki nimekitumia A level na watu wengi pia walikua wanakitumia Alevel.............
 
tatizo mtu anaweza kutuma hata laki kwa mpesa au tigopesa, halafu hapohapo anawapigia tigo kuwa ametuma kwa mtu asiyehusika, tigo wanairudisha kwake na mpokeaji kule alishapata msg ya kuingiziwa pesa, na anapoangalia salio au anataka kutuma kutuma ile hela kwingine anaona anaambiwa salio halitoshi...hapo chacha...
 
Sijakwambia utume pesa yoyote kama unakitaka kitabu unakutana na mimi mwenyewe muhusika unakiona then tunafanya biashara mi sina mda wa wizi wala ubabaishaji

Kumbe?? Mbona unauza bei rahisi sana..... Madukani kinauzwa shilingi elfu arobaini.
 
Kitabu hiki nimekitumia A level na watu wengi pia walikua wanakitumia Alevel.............

topic gani mkuu? Hicho kitabu nakipata na mi ni mwl by profession na experience ya over ten years. Chemistry ipi?
 
Back
Top Bottom