Pata gb za Vodacom kwa gharama nafuu zaidi. Huduma ni buree

Pata gb za Vodacom kwa gharama nafuu zaidi. Huduma ni buree

astalavista

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2014
Posts
254
Reaction score
277
Mtanzania, Vodacom Tanzania imekusogezea huduma ya vifurushi vya SME BUNDLES kwa gharama nafuu kulinganisha na vifurushi vya kawaida.

Nipigie 0795790411 niweze kuiwezesha line ili kupata access ya hvifurushi hivi.

Hakuna gharama ya kuiwezesha line, kuhusu kujiunga ni mteja mwenyewe utajiunga hukohuko pasipo kutuma hela kwangu.

Karibu tuzungumze kama kuna maswali/maoni
1000028777.jpg
 
Fikiria, Gb 1 unaweza pata kwa wastani wa shilingi 1000 tu ukinunua package ya shilingi elfu 30. Utaokoa 1100 kwenye manunuzi ya kawaida.
 
Mtanzania, Vodacom Tanzania imekusogezea huduma ya vifurushi vya SME BUNDLES kwa gharama nafuu kulinganisha na vifurushi vya kawaida.

Nipigie 0795790411 niweze kuiwezesha line ili kupata access ya hvifurushi hivi.

Hakuna gharama ya kuiwezesha line, kuhusu kujiunga ni mteja mwenyewe utajiunga hukohuko pasipo kutuma hela kwangu.

Karibu tuzungumze kama kuna maswali/maoni
View attachment 3516225
Naskia hii huduma haikubali kwenye line ambazo zimeunganishwa na mfumo wa lipa no, vp kuna ukweli?
 
Kheri ya mwaka mpya Mtanzania, upo ushuhuda WA baadhi ya watu kuwezesha line zao za Vodacom kupata vifurushi vya SME, na hakika wanafurahia punguzo kubwa kwenye vifurushi hivi.

Bado unayo nafasi ya kuiwezesha line yako sasa. Huduma ni buree, mtu yeyote akikuambia utoe fedha ili aiwezeshe line kimbiaaa haraka.
 
Kheri ya mwaka mpya Mtanzania, upo ushuhuda WA baadhi ya watu kuwezesha line zao za Vodacom kupata vifurushi vya SME, na hakika wanafurahia punguzo kubwa kwenye vifurushi hivi.

Bado unayo nafasi ya kuiwezesha line yako sasa. Huduma ni buree, mtu yeyote akikuambia utoe fedha ili aiwezeshe line kimbiaaa haraka.
Vifurushi vya wiki havipo
 
Kheri ya mwaka mpya Mtanzania, upo ushuhuda WA baadhi ya watu kuwezesha line zao za Vodacom kupata vifurushi vya SME, na hakika wanafurahia punguzo kubwa kwenye vifurushi hivi.

Bado unayo nafasi ya kuiwezesha line yako sasa. Huduma ni buree, mtu yeyote akikuambia utoe fedha ili aiwezeshe line kimbiaaa haraka.
Nahitaji hii huduma
 
Mtanzania, leo nitakuwa Kibaha Mail Moja. Kama utahitaji kuonana ili kujiridhisha hii huduma nipo tayari kufanya hivyo. Hujachelewa kuifurahia huduma ya SME BUNDLES.
 
Niamini mimi, kwa wenye Imani sasa wanafurahia huduma ya Vodacom SME Bando.
1000087638.jpg
 
Back
Top Bottom