Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,133
- 43,820
kama simu yako ni highend ina core za kutosha na ram kubwa kuanzia 2gb google chrome ni nzuri,Mkuu browser ipi ni nzuri kwa suffer katika net maana uc naituma kupakulia ma file sasa ku surf net ni ipi mkuu?
kama simu ni ndogo baki tu huku huku kwenye opera mini, kama sasa hivi opera mpya unaweza eka off ile compression kubwa kama unatembelea website zisizokubali opera.