Pata browser mpya faster kwa android

Pata browser mpya faster kwa android

Mkuu browser ipi ni nzuri kwa suffer katika net maana uc naituma kupakulia ma file sasa ku surf net ni ipi mkuu?
kama simu yako ni highend ina core za kutosha na ram kubwa kuanzia 2gb google chrome ni nzuri,

kama simu ni ndogo baki tu huku huku kwenye opera mini, kama sasa hivi opera mpya unaweza eka off ile compression kubwa kama unatembelea website zisizokubali opera.
 
kama simu yako ni highend ina core za kutosha na ram kubwa kuanzia 2gb google chrome ni nzuri,

kama simu ni ndogo baki tu huku huku kwenye opera mini, kama sasa hivi opera mpya unaweza eka off ile compression kubwa kama unatembelea website zisizokubali opera.
Simu yangu ina ram 1gb ila sio mediatek chipset so Nipe maelekezo hapo kwenye kuweka off compress kubwa? alafu jinsi ya ku play video youtube kutumia operamini bila ya youtube app mkuu. Ahsanteh
 
Simu yangu ina ram 1gb ila sio mediatek chipset so Nipe maelekezo hapo kwenye kuweka off compress kubwa? alafu jinsi ya ku play video youtube kutumia operamini bila ya youtube app mkuu. Ahsanteh

hapo kwenye 1gb itategemea na free ram yako, ila kwa uhakika zaidi test mwenyewe google chrome uone.

operamini nenda chini kulia bonyeza kile kialama cha opera kutatokea statistics pale za data ulizotumia na ulizosave paclick pale halafu utapewa option ya high na xtreme.

kwenye high utaweza cheza youtube na opera max, itachukua muda kidogo mpaka video kuload ila ikiload itakula mb chache hio video
 
mkuu operamini inafanananishika na ucweb na browser nyengine ambazo zinatumia proxy kucompress data. unapofananisha opera mini na dolphin, chrome au firefox unakosea.

kama unataka kufananisha chukua opera next ambayo inatumia webkit kama browser nyengine za android hapo ndo utafanya comparison nzuri
Uc iko fast sana ila inakula umeme na data kupita kawaida.
 
Hiyo next naweza kuingia JF hata kama sina salio kwenye simu...?
 
Hiyo next naweza kuingia JF hata kama sina salio kwenye simu...?
kama mtandao wako unakubali facebook bure pia utakubali freebasic ambayo ndio jf ya bure inapatikana.

kama una tigo au airtel andika 0.freebasics.com utaipata jf ya bure kwenye browser yoyote
 
Back
Top Bottom