Pata bidhaa mbalimbali hapa

Pata bidhaa mbalimbali hapa

mahugijafarAzzubayr

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
202
Reaction score
156
Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli
a69ebf513adafad952acbe859bdc5367.jpg

>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa mwenyezi ujuzi zaidi anakaribishwa.
 
Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli

Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli
a69ebf513adafad952acbe859bdc5367.jpg

>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa mwenyezi ujuzi zaidi anakaribishwa.


Kwaiyo ulivyoandika tu hivyo ndo imetosha swahiba???
a69ebf513adafad952acbe859bdc5367.jpg

>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa mwenyezi ujuzi zaidi anakaribishwa.
 
Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli
a69ebf513adafad952acbe859bdc5367.jpg

>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa mwenyezi ujuzi zaidi anakaribishwa.
Mmh ndugu yangu hata kama ni kuchokoza mada sio hivi
 
Haija tosha nimeacha nafasi kwa walio na ujuzi zaidi waje kabla sija leta full nondo
 
Majani ya Mstafeli ni dawa bora ya saratani ya tezi dume

Majani ya mti wa mstafeli yamekuwa yakitumika na watu kwenye misitu ya amazon kwa maelfu ya miaka iliyopita kutibu karibu kila ugonjwa. Ndiyo hii inaweza kuwa ni habari mpya kwako hasa kama wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya ya tiba asili kwa ujumla lakini sasa habari unayo.

Mti huu wa mstaferi ndiyo tiba asili pekee inazungumziwa sana na watu wote duniani kwa sasa kuhusu maajabu yake ya kutibu saratani mbalimbali ikiwemo saratani ya tezi dume.

Na hiyo yote ni kwa sababu nzuri tu ….

Majani ya mti wa mstafeli yanaziua seli za saratani mara 10000 zaidi ya mionzi. Na jambo la ajabu zaidi ni kuwa dawa hii haizidhuru seli hata kidogo tofauti na tiba ya mionzi ambayo inaziua mpaka seli nyingine zenye afya wakati wa matibabu yake.

Yaani dawa hii ya majani ya mstafeli huziwinda seli za kansa na kuziua huku ikikuachia seli zako zenye afya bora zaidi. Kama haitoshi majani ya mstafeli yanaongeza pia idadi na uwingi wa seli zako nyeupe za damu na kuongeza kinga ya mwili kwa haraka sana.



Majani haya yamethibitika siyo kutibu saratani au kansa ya tezi dume bali na aina nyingine za saratani zaidi ya 12 ambazo ni pamoja na:

1. Saratani ya damu
2. Saratani ya matiti
3. Saratani ya mlango wa kizazi
4. Saratani ya mapafu
5. Saratani ya ini
6. Saratani ya mdomo
7. Saratani ya kwenye ulimi
8. Saratani ya kongosho
9. Saratani ya kwenye mji wa uzazi
10. Na sratani nyingine nyingi

Majani ya mstafeli ni dawa nzuri dhidi ya bakteria na fangasi mbalimbali mwilini na hivyo ni kinga dhidi ya maambukizi ya kila namna.

Majani ya mstafeli yanatibu pia:

1. Kisukari
2. Gout (maumivu ya jongo)
3. Maumivu ya mgongo
4. Yanaongeza kinga ya mwili
5. Yanaimarisha afya ya tumbo kwa ujumla
6. Kufunga choo
7. Msongo wa mawazo (stress)
8. Yanaimarisha afya ya nywele
9. Yanaimarisha afya kwenye mfumo wa upumuwaji
10. Yanaongeza afya ya ngozi
11. Mazuri kwa afya ya moyo
12. Yanadhibiti homa na kutuliza joto la mwili

Dawa kubwa ya saratani ambayo watu wengi hawaifahamu …
 
Back
Top Bottom