Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Hivi huu mtindo wa organisations(both private and government kuacept job applications kwa watu wa UPER SECOND na kuendelea unasaidia nin? Nauliza hivyo kwa kuwa kuna wanachuo ambao wanatumia mtindo wa kujuana na malecturers na wengine kudiliki hata kununua maksi kwa kutoa fedha na penzi ili apate level hiyo ya ufauru.My take ni kwamba kwa nin organisations zisitumie mtindo wa interview kushortlist waombaji kuliko kumbana mtu kwa GPA coz what i believe ni kuwa mwenye less than upper second GPA sio kwamba hafai kabisa.Sote tunajua sababu inayoweza kumpelekea mtu mwenye smart mind kupata GPA below ya uper second ikiwemo
1.Hira kati ya mwalimu na mwanafunzi may be mmegongana kumfuata kimapenzi msichana mmoja,kwa msichana kumkalia mwalimu wa kiume kufanya nae mapenz n.k
2.Kufundishwa na mwalimu ambae ni complicator (katika miaka yako 3 au 4 ya degree ya 1 ukikutana nao hawa walimu kama hawa wa5 wanatosha kukushusha GPA yako maana hawa walimu wana kitu kinachoitwa education jelous
3.kuna matatizo ya kifamilia,mapenzi ambayo yana nguvu sana haswa kwenye jamii ya kimaskin kama Tz
Nimejikuta naandika yote baada ya kumuona rafiki yangu ambaye ninamkubali sana kwa kuwa ana smart mind na yupo bench miaka 2 kila akijaribu kusogea kwenye interviwe anaambiwa "hiyo GPA yako ya 3.4 haifai" japokuwa kuna baadhi ya organisation hazitoi limit za GPA.
JAMANI ndugu wana jf mnalionaje hili tatizo coz linakatisha tamaa wahitimu wengi
1.Hira kati ya mwalimu na mwanafunzi may be mmegongana kumfuata kimapenzi msichana mmoja,kwa msichana kumkalia mwalimu wa kiume kufanya nae mapenz n.k
2.Kufundishwa na mwalimu ambae ni complicator (katika miaka yako 3 au 4 ya degree ya 1 ukikutana nao hawa walimu kama hawa wa5 wanatosha kukushusha GPA yako maana hawa walimu wana kitu kinachoitwa education jelous
3.kuna matatizo ya kifamilia,mapenzi ambayo yana nguvu sana haswa kwenye jamii ya kimaskin kama Tz
Nimejikuta naandika yote baada ya kumuona rafiki yangu ambaye ninamkubali sana kwa kuwa ana smart mind na yupo bench miaka 2 kila akijaribu kusogea kwenye interviwe anaambiwa "hiyo GPA yako ya 3.4 haifai" japokuwa kuna baadhi ya organisation hazitoi limit za GPA.
JAMANI ndugu wana jf mnalionaje hili tatizo coz linakatisha tamaa wahitimu wengi