avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,322
- 12,731
Gwajima hana tofauti na Deokisandu na Trump. Wakivuta maugooro yao au wakiota usiku wanakuja kuwaaminisha wafuasi wao kama kisandu alivyosema kagundua dawa ya ukimwi ya azuma na sasa trump kaota daw ya choroquine inatibu corona wakati nchi yake ikizidi kuteketea