Sangatitti
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 488
- 1,148
Waumini wa gwajima ni sawa na wafuasi wa mbowe hawana tofauti
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Mbowe hana wafuasi labda ungesema wasomi wa Tz
Waumini wa gwajima ni sawa na wafuasi wa mbowe hawana tofauti
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
wacha weeMnatumia kivuli cha kanisa kula kondoo na bila aibu huogopi kutaja hata jina la Mungu kwenye ushenzi wenu na gwaji boy..
Hivi unataka proof gani zaidi ya ile video.. au utaniambia hujaiona ile video?? Jamaa kagonga manzi tena bad enough kapiga bao ndani ya sekunde 30.. halafu unaleta utopolo sijui wa txt na ushahidi.
Wewe endelea kutoa sadaka kwa huyo tapeli na mzinzi ..
Ulimuona wewe live????Had videos hadharan hujaziona unataka buthibitisho gan,nyie ndo kondoo wenyew ,mtu mzima unakua mjinga mjinga,et mchungaj,mchungaj muhuni
Alivyomla yule KONDOO jamaa alifaidi sana, kondoo mzuri vile halafu umle kavukavu just Imagine!
Hata Photoshop inawezekana piaHata kama wewe ni nyumbu wa Gwajima lakini wengine tuna akili zetu. Ile clip ni Gwajima kwa 100% anafanya ngono! Kama aliwadanganya nyie nyumbu wake kuwa siye yeye poleni sana.
Hakuna editing ya vile.. waumini wake ndo mmeaminisha eti ni editing.. hivi hata common sense hamuwezi kutumia??Ulimuona wewe live????
Ile ni video ndio,ila ulimuona??? na kama Editing?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kwa sasa nadhani ndio mhubiri anayeongoza kwa uongo dunianiNimeona mara 2 Gwajima akihubiri mambo yafuatatayo:
1. CORONA virus inatokana na 5G technology (hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi).
2. Kwamba DRC wamesha anza kudingwa sindano za chanjo ya corona (hawajaanza na hakuna nchi ambayo imesha anza kutoa chanjo za corona zaidi ya maandalizo na test).
Tungeomba Gwajima aheshimu maelekezo ya kitaalam kuliko kuwadanganya wananchi maskini ili kupata sadaka zao.
Pia, tunaomba serikali ili angalie jambo hii kwa watu kama Gwajima ambao wanatumia nafasi zao za kiroho kupotosha uhalisia wa ugonjwa wa corona.
Ile siyo photo ni video. Watu wasio na uelewa wa mambo hayo ndiyo watadanganywa kuwa ile siyo genuine.Hata Photoshop inawezekana pia
acha zitafune wa malofa, wajingawananchi maskini ili kupata sadaka zao.
Kwan ni picha tu mkuu,hata videoIle siyo photo ni video. Watu wasio na uelewa wa mambo hayo ndiyo watadanganywa kuwa ile siyo genuine.
Huyo ni.msikuma awamu hii hawaguswi na mtu ni ya kwaoNimeona mara 2 Gwajima akihubiri mambo yafuatatayo:
1. CORONA virus inatokana na 5G technology (hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi).
2. Kwamba DRC wamesha anza kudingwa sindano za chanjo ya corona (hawajaanza na hakuna nchi ambayo imesha anza kutoa chanjo za corona zaidi ya maandalizo na test).
Tungeomba Gwajima aheshimu maelekezo ya kitaalam kuliko kuwadanganya wananchi maskini ili kupata sadaka zao.
Pia, tunaomba serikali ili angalie jambo hii kwa watu kama Gwajima ambao wanatumia nafasi zao za kiroho kupotosha uhalisia wa ugonjwa wa corona.
Usiparamie mambo bhanaHakuna editing ya vile.. waumini wake ndo mmeaminisha eti ni editing.. hivi hata common sense hamuwezi kutumia??
Hapo ndio tofauti yangu na wewe..Usiparamie mambo bhana
Sasa wewe kama msomi na Jf Expert ambae tayari tunakutegemea kuwa siku zote ukitoa any information uwe na evidence,unaamimije ile video???
Mimi hata hiyo 5G simuungi mkono kwa sabbu hana ushahidi wa kutosha amebaki anaropoka tuu,lakini imenifanya nitulie kwa sbabu sina ushahidi kuwa anachoongea ni kweli au laah
Ila kama ikitokea maneno aliyoongea yatareflect na kitakachotokea kwa bdae basi nitamwamini kwa 100% sasa hivi nimekuwa na busara ya kuwa kimya kuliko kuongea.
Lipo suala la mafuta ya upako la Mwamposa,siwezi pinga,na pia sitotumia nitasikiliza anachosema then nitachambua maneno aliyoyasema jee ni sahihi au laa?
Kama sivyo nitajitenga na kuwa kimya.
Asikwambie mtu kimya kina nguvu kuliko maneno mengi,kaangalie watu wakimya kwenye jamii wanavyochululiwa..wengine wamahisi ni kiburi na wengine wanaona ni Hekima/Busara inategemea ni kwa jinsi gani watu wanakuchukulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nakwambia kwa mtu asiye na upeo wa hao mambo ndiyo anaweza asijue. Ila mimi niliangalia na nakumbia 100% yule ni Gwajima tena alijirekodi mwenyewe. Hata maelezo yake ya mwanzo alikuwa kama anakiri kuwa ni yeye ila viongozi wa dini wenzake wakaja kumshauri akanushe na wenyewe watamtetea. Ile siyo ya kutengeneza hata kidogo.Kwan ni picha tu mkuu,hata video
Haya ngoja nikukubalie.., japo kwa nilivyoiona inaweza kuwa ya kutengenezwa pia.Ndiyo maana nakwambia kwa mtu asiye na upeo wa hao mambo ndiyo anaweza asijue. Ila mimi niliangalia na nakumbia 100% yule ni Gwajima tena alijirekodi mwenyewe. Hata maelezo yake ya mwanzo alikuwa kama anakiri kuwa ni yeye ila viongozi wa dini wenzake wakaja kumshauri akanushe na wenyewe watamtetea. Ile siyo ya kutengeneza hata kidogo.
Kwa hiyo una wasiwasi pengine wame edit sehemu ya kupiga bao?Ulimuona wewe live????
Ile ni video ndio,ila ulimuona??? na kama Editing?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio tofauti yangu na wewe..
Mimi ukinipiga kamba inayoonekana nakuchana hapo hapo.. mambo ya 5G ni uongo . Ile video ni yake . Mafuta ya mwamposa waumini wake ni mapoyoyo kabisa.. hapo naweka FULL STOP